Jamani kwa wale wenzangu wa EPL,LAL LIGA, CHAMPIONS LEAGUE NA EUROPEAN FOOTBALL kwa ujumla, nimesikia kuna sports lounge ya kisasa imefunguliwa maeneo ya Posta Mpya..mwenye details kamili atajuze....haya mambo ya kuangalia kwenye vibanda nimechoka...
Jamani naombeni msaada wenu, mm natumia king'amuzi cha Star Times, but kwa sasa sipati picha (Video) za Citizen TV, ninachokipata ni sauti (audio) tuuu....so help out great thinkers????
JE UNAJUA MAANA HALISI YA MAJINA WALOKUWA WANAITANA LULU NA KANUMBA (CINDY NA MOPAO)
bofya hapa Chungulia Dar
kumbe jamaa alikua anakalamaba haka binti toka zamani........
jamani according to me,myself and I...the most boring people ni wahaya...yaani being around wahaya is sickening....story zao za kujisifia kila wakati zinaniboa...je ww watu wa kabila gani wanakuboa sana?
godbless lema wamekupa likizo ya lazima...nahisi kufulia kunakurabia..maana zile poshoposho zetu utazikosa na hilo prado tafadhali urudishe...ila usijali nitakupa Toyota Vitz utesee mtaani...unacheza na ubunge ww wakati maisha yenyewe mafupi.......nyooooo
fungulia channel ten sasa hivi.kipindi cha hamza kipo hewani..mada ni tamasha la nne la kitaaluma la mwl nyerere....Dr.Mutembei anasema viongozi wa ngazi ya juu wa serikali wanaogopa kuja UDSM kwasababu ya kuzomewa....I was there for 4 years hakuna hata kiongozi mmoja alietia mguu...
tehe tehe with all respect jamaa alipokuwa anahojiwa na zamaradi alisema lulu ni kama mdogo wake kumbe jamaa alikua ana kula mzigo behind the scene...hata mm nakatamani haka kalulu....
Prof. ISSA SHIVJI the only person who dared to criticize publicly 77 constitution during Nyerere Era....u can not compare Shivji na mtu kama Warioba....kama shivji angepewa uenyekiti wa tume hii the first thing ange suggest ni kupunguza nguvu na madaraka ya rais....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.