Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kama hujazomea basi na wewe ni MsukuleNipo uwanjani na mhe Membe ndio anaondoka hapaSi kweli Mhe Membe amezomewa ila watu wameshangilia sana pale alipogusa issues za ufisadi na ugumu wa maisha.Wananchi walifurahi zaidi pale alipotangaza kutoa millioni kumi,Pinda million 5 na Mhe rais millioni 10 kwa ajili ya kuchangia mfuko wa msama promotions kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu.OTIS