Juan San Roman
Member
- Mar 13, 2012
- 52
- 12
fungulia channel ten sasa hivi.kipindi cha hamza kipo hewani..mada ni tamasha la nne la kitaaluma la mwl nyerere....Dr.Mutembei anasema viongozi wa ngazi ya juu wa serikali wanaogopa kuja UDSM kwasababu ya kuzomewa....I was there for 4 years hakuna hata kiongozi mmoja alietia mguu...