Habari za Mwaka mpya wana jamii. Kuna haya mashuka na blanket za kutoka Uganda. Nataka na mimi nifanye hii biashara.
Ila nitafurahi kama nitapata muongozo na namna ya kuyapata toka Uganda. Kama kuna mtu ana uzoefu au connection naomba anishirikishe.
Asante sana.
Hii ni Xtrail ya 2007/8. Taa ya check engine inawaka lakini gari inafanya kazi vizuri tu. Nimejaribu procedure za kui-reset lakini bado. Pia nilichomoa battery kwa sekunde chache lakini bado. Kuna jamaa yangu kaniambia yeye inawaka mwaka wa pili sasa na maisha yanaendelea kama kawaida. Kasema...
Natafuta lightbox kwaajili ya kupigia picha za bidhaa. Lightbox ndogo kwa picha za viatu na mikoba. Au kubwa za kupiga magauni ya kike. Kama unafahamu mahali zinapatikana kwa Dar au Mwanza nitashukuru sana.
Nimezaliwa miaka 40 iliyopita. I am looking for a woman to chat with and share life and world views, and to some extent enjoy this life. Bado niko single, hata kama she is married still we can chat. Life is full of suprises. You are welcome.
Camera yangu Samsung NX1000 lens yake size 28 - 50mm imepata shida, na sitaweza kuitumia tena. Natafuta lens nyingine. Iwe size yoyote, iwe kit lense au prime lens. Cha msingi ni maelewano ya bei. Kama una lens inayo-fit camera hiyo, naomba tuwasiliane PM. Asanteni sana.
Camera yangu Samsung NX1000 lense yake size 28 - 50mm imepata shida, na sitaweza kuitumia tena. Natafuta lense nyingine. Iwe size yoyote, iwe kit lense au prime lense. Cha msingi ni maelewano ya bei. Kama una lense inayo-fit camera hiyo, naomba tuwasiliane PM. Asanteni sana.
Habari wakuu, Nina jamaa yangu yupo Canada na anasema kuna simu nzuri na bei yake ni cheap. Ila hizo cheap phone ziko locked na network provider wa huko. Anasema mfano, simu nzuri unaweza kuta ni Canadian dola 200 na iko locked na certain network provider.
Ku-unlock simu kama hiyo kwa Canada...
Habari za saa hii wakuu. Natafuta kazi kwenye kampuni zinazochimba gas na oil hasa maeneo ya kusini. Naomba mdau mwenye contact za haya makampuni anipatie niweze kujaribu bahati yangu. Mimi ni fundi umeme na elimu yangu ni ya FTC, pia nina leseni ya Hight voltage. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.