KWA WAJAWAZITO hasa wanaopenda mimba zao unashauriwa kufanya mazoezi angalau mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jion kunywa maji mengi kwani kunapunguza kuvimba mguu na kupata magonjwa yasiohitajika hila
kila mama mjamzito anashauriwa kula mboga nyingi za majani kwani zitamsaidia kuongeza...
workshop on enterprenueship
satarday 29 september 2012 tsh 5000/=
for more infomation please call 0683672508 or benkissy@yahoo.com
hii kwa watu wa arusha tu wanaopenda
mabadiliko kwenye biashara zao kwani kutakuwa na wafanyabiashara waliofanikiwa sana ambao wanaingiza...
wakuu mashine yangu gateway M-6843 NIMEISTAL webcam usb driver 2.0 but amna kamera on screen nilistaal YOUCAM 5 ikaisha baada ya siku 15 yaani kuexpire sasa napata shida jinsi ya kutumia webcam ya mashine amna shootcut yoyote na driver ipo tena imeistaal freshi naomba masaada kwa mwenye ujuzi...
AFYA YAWABABA!
Wanaume tujue Prostate yetu.
Kwa nini tujue?
l Kufahamu Ugonjwa kutasaidia kujizuia
l Kujua ugonjwa ni NUSU ya Tiba
Tezi la Prostate: Ni tezi la mfumo wa uzazi wa mwanaume iliyopo
chini ya mfuko wa mkojo (BLADDER).
Nani ana Prostate?
MWANAUME
¨ Prostate IPO wapi?
Chini...
Wakuu nina hitaji fundi machine yangu hp kioo kimepata kreki hvyo akioneshi fresh nataka nikibadilishe kuna mtu anayeweza kufix hlo tatizo na screen nitapata wapi na kwa shi ngapi mwenye kujua anielekeze ni vizuri kama ukitengeneza na utabadisha na kioo kila kitu kiwe chako halafu uandike bei...
Jf naomba mnisaidie sukari imepungua mwilin hadi kufikia 4 hv ni vyakula gani natakiwa kuviepuke au natakiwa nizidishe vyakula vya sukari hli ipande nisaidien kwan hadi sasa nimechanganyika na inaweza kupona au plz help?
Jf naomba mnisaidie machine yangu gateway imeistal window 7 ultimute driver zote zinaonekana zimeingia hadi webcame lakini siioni shortcut ya webcame kwenye machine kama kuna mtalaamu anielekeze na ninaweza kupata kaspeskay antivirus ya miaka miwili na kuendelea ambayo mnaweza kutumia hata watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.