AFYA MUHIMU SANA WANAUME SOMA itakusaidia

aloveragel

Member
Feb 21, 2012
55
16
AFYA YAWABABA!
“Wanaume tujue Prostate yetu”.
Kwa nini tujue?
l “Kufahamu Ugonjwa kutasaidia kujizuia”
l “Kujua ugonjwa ni NUSU ya Tiba”
Tezi la Prostate: Ni tezi la mfumo wa uzazi wa mwanaume iliyopo
chini ya mfuko wa mkojo (BLADDER).
Nani ana Prostate?
– MWANAUME
– ¨ Prostate IPO wapi?
– Chini ya kifuko cha mkojo
– Imeizunguka URETHRA (mrija unaounganisha bladder and
uume) humsaidia mwanaume kukojoa.
Testosterone na kuvimbaprostate(BHP)
l Testosterone – Ni Homoni za uzazi za mwanaume.
l Ni muhimu kwa maumbile ya mwanaume: URIJALI, Misuli
imara.
Mwanaume anapofika miaka 40 na zaidi mimeng’enyo ya Prolactin
inayozalisha testosterone inayozalisha dihydrotestosterone
inaongezeka
MATOKEO:
Nywele kupungua, KUVIMBA kwa tezi la prostate BHP. Hii
husababisha kubanwa kwa urethra na kusababisha mkojo kushindwa
kutoka nakushindwa kwa tendo la ndoa.
Dalili za kuvimba kwa tezi ya prostate
CHOONI
l Kutaka kwenda haja ndogo mara nyingi hasa usiku.
l Maumivu wakati wa kukojoa
l Kasi ya mkojo hupungua kuliko kawaida au una kwama kwama
l Kushindwa kukojoa
l Maumivu au hali ya kuungua wakati wa kukojoa
l Mkojo kuwa na damu
l Maumivu kwenye kiuno, nyonga na juu ya mapaja
KITANDANI
l Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
l Maumivu unapofikia kilele
l Uhanisi
l Maumivu wakati wa kufanya tendo
Shida nyingine zinazoletwa na BHP
l Ugonjwa katika kibofu
l Ugonjwa wa urethra na figo
l Mkojo kubaki katika damu (hii ni sumu na ni hali ya HATARI).PROSTATE CANCER: MATOKEO YA UTAFITI
50%ya wanaume wenye miaka 40-50 na 70% ya wanaume wenye
miaka 60 wamevimba tezi la prostate. Hata wenye miaka 30,25%
wana seli za prostate cancer katika miili yao,Seli hizi za cancer ya
prostate hupatikana kwa wanaume wenye umri kati ya miaka 70,80 na
kuendelea.
A-D Staging System
Hatua A. KANSA
inaanza.Kiuvimbe kidogo
ndani ya tezi hakiwezi
kutambuliwa hata kwa
kipimo cha DRE.
Hatua B. Kiuvimbe ndani ya
tezi kinaweza kutabuliwa na
DRE.
Hatua C. Kansa imekomaa.
Kansa imeanza kusambaa nje
ya tezi la prostate lakini
hajafikia viungo vingine.
Inatambuliwa na kipimo DRE.\Hatua D. Kansa imesambaa
katika viungo vya karibu na vya
mbali kama mifupa, nyonga na
mitoki.
Vipimo vinavyotumika
l P. S. A. – Prostate Specific Antigen Test. Hupima damu na kiasi
cha protini katika seli za prostate kawaida ni ndogo zaidi ya 4 ,
hakuna uwezekano wa kansa. Kati ya 4 na 22 uwezekano wa
kansa upo, zaidi 22 uwezekano wa kansa ni mkubwa sana.
l Kasi ya mkojo – hupimwa ml/sek. Kasi ya kawaida ni 10 na
32ml/sek.
l Kidole hupitishwa kwenye njia ya haja kubwa, kuweza kupima
ukubwa wa prostate.
Tiba zinazo chaguliwa
l madawa: inakubaliwa na madaktari wa orthodox.
Tafiti zinaonyesha:
l Maelfu ya wanaume wanalio na kansa ya prostate wanapata
upasuaji usio wa lazima na wengine wanatibiwa na madawa
yenye sumu yaliyopitwa na wakati kwa sababu ya ujinga wa
kitabibu??. (Lois Rogers, Medical Correspondent, Sunday
Times, 27 April1997).
l moja ya madawa wanayopewa, iligunduliwa miaka 30 iliyopita
inaharibu Ini, inaleta magonjwa ya moyo,kiharusi na maziwa
kuvimba na imepigwa marufuku nchi za Ulaya. (Johnathon
Waxman, Cancer Specialist, Hammer Smith Hospital, London).“Madawa mengi yanayotumika kutibu BPH hayana manufaa sana,
Yana madhara mengi, yanafanya kazi taratibu, yanaondoa dalili na
madhara mengi , ikiwamo kupoteza hamu na kuua uwezo wa tendo la
ndoa”.
l KISU (UPASUAJI) – hukubaliwa na madaktari wa orthodox.
l 70% ya wagonjwa wanakua ******* baada ya upasuaji, na 40%
hawawezi kuudhibiti mkojo (Jonathon Waxman).
l Njia ya Asili – kuzuia na kutibu.
l Madaktari wengi wameamini wanaweza kuzuia tezi iliyovimba
kwa kumpa mgonjwa virutubisho ambavyo amevikosa.
Matokeo ya tafiti
l maumivu na matatizo ya prostate yanaweza yakaondosha na
matumizi ya virutubisho. Hata wale walio na tezi iliyovimba
hupata nafuu ya haraka wakipewa tiba ya virutubisho (Dr. James
Balch, Specialist Urology)
l Tafiti zinaonyesha dhahiri kwamba madawa hayana manufaa
katika kutibu tezi iliyovimba utaratibu wa kulisha kiungo
virutubisho vinavyokosekana kutokana na ulaji mbaya au umri
ndio muafaka katika kurudisha uvimbe (Dr. Hans Kuglor, author
of the top-selling book, Slowing Down the Aging Process).​
Katika njia zote hizi ni ipi uionayo ni salama kwako na kwa familia yako?
wadau tutaendelea na njia ya kuzuia nisiwachoshe sana kama mtapenda niendelee naomba mnijuze
 
Nimeipenda hiyo habari sana kwa manufaa ya afya zetu ktk maisha ya kila siku. Ahsante sana.
 
Kazi nzuri, ni jambo jema kukumbuka sana afya zetu kwani ndio teketi yetu ya kuishi duniani!Nategmea mengi toka kwako mkuu
 
Asante kwa somo. Usitubague, ukimuelimisha mwanamama umeelimisha jamii. Ntaanza kuchungulia mtu akisusuu!
 
mkuu asante sana maana shule si darasani hata hapa ninaimani watafaidi wengi sana
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom