Search results

  1. Mtu Alie Nyikani

    Nina swali kuhusu Elimu ya Secondari ya miaka miwili, nisaidieni majibu

    Habari wakuu. Natumai hali zenu zote ni nzuri. Kwa wale wenye changamoto, Mungu awajalie. Nina swali kuhusu kusoma elimu ya sekondari kwa miaka miwili. Mfumo huu wa Elimu ya Secondary upo hivi yani katka mwaka Mmoja unasoma Madarasa mawili (form 1&2) and next year form 3&4 jumla miaka miwili...
  2. Mtu Alie Nyikani

    Wakristo: Vita ya Israel inayoendelea ni ishara tosha kuwa wakati wa kuja kwake mwana wa Adamu (YESU) umekaribia. Tuamke

    Kutoka mitandaoni... TAIFA LA ISRAEL NA UNABII WA SIKU ZA MWISHO. Na Joshua Ntagala Taifa la israel ni taifa takatifu la Mungu, utakatifu wake sio katika matendo ya kiuungu lakini ni takatifu kwa maana ya kwamba limetengwa kwa ajili ya matumizi ya Mungu(ardhi yake,watu wake, wametengwa kwa...
  3. Mtu Alie Nyikani

    Hizi Ndoto mbili ni ipi ni rahisi kupata Mwenza wa ndoto yako

    Habari wakuu!! Kuna hizi Ndoto mbili za jinsia zote ni ipi kati ya:- Ndoto ya Kila ya mwanamke ni kuolewa na mwanaume mwenye Hela Na ndoto ya Kila mwanaume kuoa Mwanamke Bikira. Je ni ipi Ndoto ambayo ni rahisi kutimia? Kwa upande wa Me na Ke.
  4. Mtu Alie Nyikani

    Msaada: Ukipewa Mkopo wa kusoma Diploma ukahitimu. Je, utapewa na mkopo wa kusoma Degree (Elimu ya Juu)?

    Habari Wana JamiiForums. Samahani naomba kuuliza kuhusu hili tangazo la Mikopo ya Elimu ya Stashahada (Diploma) ambalo limetolewa na Loan board (HESLB). Swali langu ni hivi ikitokea umepewa Mkopo wa Diploma ukasoma ukahitimu Alfu badae ukahitaji kuendelea na Elimu ya Juu (Degree), Je!! ukiomba...
  5. Mtu Alie Nyikani

    Naomba ushauri kuhusu kozi nzuri ya kusoma

    Habari wakuu kwanza kabisa nawasalimu wakubwa kwa wadogo habari zenu? Mimi nahitaji msaada wa mawazo yenu na msaada wenu huu ni mhimu sana. Nina Mdogo wangu kasoma EGM Advance kahitimu mwaka huu ana One ya 9 means masomo yote kapata "C" Sasa shida inakuja kwenye Course ya kusoma maana dogo...
  6. Mtu Alie Nyikani

    Unaweza soma Degree Huku ukiwa Kazini

    Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima. Naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu au walishapitia naomba Mnisaidie hapa. Mfano mtu amemaliza Diploma then akapata kazi akaajiriwa, je anaweza soma Degree akiwa...
  7. Mtu Alie Nyikani

    Naomba ushauri: Punyeto, Wivu na Uoga vinanitesa. Naona maisha yangu yapo hatarini

    Habari ya uzima wakubwa kwa wadogo, natumaini uzima upo lakini wale ambao Wana shida ya Afya basi Mwenyezi Mungu awajalie uzima. Niende kwenye shida yangu, mm ni kijana nina Miaka 20, shida yangu nimeathirika na masterbation (Punyeto), yaani naona hichi kitendo kama nimeshindwa kuacha kabisa...
Back
Top Bottom