Ni dhahiri,upo upungufu wa uelewa na ufahamu juu ya maana na nafasi ya Shahada ya Uzamivu za Heshima.
Hii ni kwa kuzingatia maneno na matendo ya watunukiwa na wadau wengine kwa upana wake.
Shahada hiyo kamwe haiwezi na haitakuwa sifa ya kitaaluma wala kuongeza uwezo wa kufikiri wala utendaji...
Mathayo 25
14 Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake. 15 Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri. 16 Mara yule aliyekabidhiwa...
Tofauti na wanyama wengine,mwanadamu ni kiumbe aliyekirimiwa ubongo wenye ufanisi mkubwa.Nyenzo hiyo huitumia kuibua na kisha kuunda fikra,mitazamo na imani kwa lengo la kuboresha,kudumisha ama kubadilisha mazingira yanayomzunguka.Aghalabu baada ya tafakuri,mwanadamu hushirikisha wanajamii...
Magufuli Effect: Foreign Investors Pulling Out Of Tanzania Due To Higher Taxes
By Kevin Mwanza Published: November 30, 2016, 8:44 am
Supporters of Tanzania Presidential candidate of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) John Pombe Magufuli celebrate after he was declared the winner of the...
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)kinaendelea kujitenga kiubora,na Taasisi na Vyuo vingine vya Elimu ya Juu nchini,kwa uamuzi wake wa kurejea utamaduni wake zamani kudahiliwanafunzi wenye ufaulu wa juu katika matokeo yao.
Kwa mwaka wa masomo 2016/2017,walioweza kupata udahili Chuoni hapo wana...
Kituo cha Televisheni cha Clouds kinaendelea kujitahidi kutekeleza majukumu yake ya kiasili:kuhabarisha,kuelimisha na kuburudisha.
Hapana shaka,wahusika wanao mchango katika ukuzaji na uimarishaji wa utamaduni wa kidemokrasia,muhimili adhimu katika michakato ya maendeleo ya kiuchumi.
Hata...
Miongoni mwa wanasiasa wapuuzi niliopata kuwajua,Fahmi Nassoro Dovutwa,mwenyekiti wa chama cha UPDP(sitaki kujua hata kirefu chake) ni mojawao.
Mwaka 2010 alijitoa katika kinyanganyiro cha Uchaguzi Mkuu alipokuwa anawania nafasi ya Urais kwa sababu za kipuuzi ambazo nisingependa kuzirejea...
TUNAUANZA mwaka mwingine ‘mpya' tukiwa na matatizo yetu yale yale ya zamani, isipokuwa tu kwamba yanazidi kuwa magumu kutokana na udhaifu wetu katika kuyashughulikia. Yatazidi kuwa magumu na mazito zaidi kadri tunavyokaribia kile ambacho tumekifanya kiwe ndiyo Alfa na Omega: Uchaguzi Mkuu...
John Mnyika
Kila jimbo litataka kujifananisha na mafanikio fulani fulani.
Dhana ya ushindani na upekee imeshindikana katika mazingira ya sasa ambapo kila halmashauri inaongozwa na maelekezo ya Dar es Salaam na inajivunia mafanikio ya nchi kwa ujumla wake.
Katika kuendeleza dhana hii potofu...
Deusdedit Jovin, Raia Mwema Toleo namba 260,Tar 19 Sept.-25 Sept.
TUHUMA tata zilizotolewa na kina Samuel Sitta dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na ambazo nimezijadili kwa kifupi katika toleo lililopita la gazeti hili, zimenihamasisha kutafakari kwa kina kuhusu...
Baada ya mjadala mkali wa takribani wiki mbili sasa,ndani na nje ya bunge,kufuatia ripoti ya CAG,na ulioibua shinikizo dhidi ya mawaziri kadhaa kujiuzulu nafasi zao kutokana na makosa ya uwajibikaji,na ambao hata hivyo hawakufanya hivyo na shinikizo hilo kuhamishiwa kwa Mizengo Pinda kwa...
"I was baptized a Catholic when i was young at school..i wouldnt want to be hyprocrite as i believe God is there(is sovereign and exists), not in the house of bibles or Qurans..i ve never been doctrinaire for Christianity or any religion from abroad, i believe in a lot of things in...
Mwaka 2002,August,nikiwa najisomea nyumbani,majira ya kumi na moja jioni,huku nikifuatilia matokeo ya kura ya Uchaguzi Mkuu wa ndani wa CCM,nilistuka kusikia Nape, akiwa na miaka 24 wakati huo,wakati huo akisoma Chuo Cha Kivukoni,akitajwa kuongoza katika kinyanganyiro cha kutafuta Wajumbe wa...
Tarehe 18 March 2012,wiki moja baada ya kuanza rasmi kampeni za uchaguzi wa Arumeru Mashariki,na baada kuangalia mwenendo wa kampeni hizo,nilisukumwa na dhamira yangu kuanzisha ,hapa JF, thread yenye kichwa kisemacho:'Kwa nini naamini CHADEMA itashinda Arumeru' .Ninayo furaha kubwa kuwa, jana ...
Wiki moja tangu kuzinduliwa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki, nimeamua nifanye tathimini juu ya mwelekeo na mwenendo wa vipengele (components) 6 kama vilivyojidhihirisha na kisha kufuatiliwa na kuzingatiwa.Ili kuweza kuelewa mantiki iliyo nyuma ya hitimisho hapo...
Gazeti la Mwanahalisi ktk toleo lake na.279 ukurasa wake wa Tisa, la wiki hii limechapisha mahojiano kati yake na ndugu Diana Chilolo mbunge wa viti maalumu,CCM mkoa wa Singida.Mwishoni mwa mahojiano, ameeleza kuwa amesoma ktk shule ya Sekondari Mwenge iliyopo mjini Singida.Napenda kuchukua...
Yafahamika kuwa ni haki ya kisiasa kwa mwananchi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini.Pamoja na ukweli huo,ni dhahiri kuwa nia, malengo na misukumo ya baadhi vijana kujiunga ama kushabikia chama cha CCM hayako sahihi,hata kama kwa kufanya hivyo hawavunji katiba ya chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.