Habarini wakuu__nahitaji msaada wa mawazo ama ushauri au njia gani nipite ili niweze kufanikiwa kuingia marekani
_bongo maisha magumu sana
Kuna jamaa yangu yuko marekani kupitia yeye nataka namm nikanyage kwa biden
Msaada ninao uhitaji kutoka kwako.
Kwa upande wangu huku tanzania natakiwa...
Mawili matatu kwavijana wenzangu:
Kwenye harakati za kutafuta pesa
Kwenye harakati za kutafuta ugali wa watoto
Kwenye harakati za kujikwamua kimaisha
Kwenye harakati za kutimiza wajibu wako kama baba
Bas nawaasa msisahau kujipongeza (nini namaanisha?)
Ukiendekeza sana majukumu hautakaa ununue...
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?
Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu
Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi
Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka
Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia...
__nilivaa singlendi nikawa nafanya kazi juani (maeneo hayo jua lilikua linapiga sana coz yalikua maeneo yawazi ) usiku wake mwili ukawa unawasha asubui yake naona mwili umejichora weusi (hio sehemu ya singlendi ningozi yangu halisi__hio ingine nisehemu ilioharibiwa na jua) naomba msaada dawa...
Habarini wakuu, mimi ni fundi aluminium ikiwemo
__madirisha ya aluminium
__milango ya aluminium
__makabati ya chips
__partitions za majumbani na ofisini
NAPATIKANA DARESLAAM -MIKOANI PIA NAKUFIKIA
0686141321
Kama kijana mpambanaji__
Bado najiuliza sana (vijana wenzangu hembu leo tugeane code) (siri) inakuaje kijana alisoma miaka mingi-anavyeti vyenye alama nzuri -hana pakushika -kuna wengine tunapambana miaka nenda rudi bado hatuoni hata dalili yakutoboa
__ila unakuta kujana mdogo (under 30)...
Mm nikijana wakiume umri wangu 27 years __nipo dar (nahitaji mpenzi wakudate nae tuenjoy maisha )
NOTE:kuhusu ndoa bado bado (nasubiri text yako inbox)__kuhusu ninae mhitaji umri wake usizidi 35
Swali hivi nikweli mizimu ama majini yanaweza kumtajirisha mtu..? kama ni kweli ni yapi madhara yake na faida kama sio je hawa tunaoambiwa wana pesa za majini wanazipata wapi..? (NOTE..nahitaji pia hizo mambo)
wakuu naombeni msaada natumia iphone XR nahitaji kutumia free net mana bando limekua garama sana naukilinganisha nahali yasasa, so mwenye vpn yeyote ama app yeyote inayoweza ku acess free net msaada plz.
Naombeni msaada,
Nataka kurudisha email yangu ya zamani ila tatizo number niliofunguliaga haiko hewani ishapoteaga na wala sina recovery email yani zaidi yakukumbuka jina la email yangu sikumbuki chochote.
Nilishahangaika mtandaoni ila nimeshindwa maana inataka kutuma verification kwenye ile...
#wakuu katika harakati zakutafuta maisha__nishahangaika sana (mm naishi dar) nataka nicheki upande wapili (naitaji mganga konki kabisa atakaeweza kunipatia utajiri ) mwenye connection plz naomba tuwasiliane mana maisha yabongo nimagumu sanaaa..! (Nataka mtaalam konki kabisa yan aliebobea kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.