Wapambanaji tukutane hapa

Strong25

Senior Member
Dec 6, 2021
169
357
#wakuu katika harakati zakutafuta maisha__nishahangaika sana (mm naishi dar) nataka nicheki upande wapili (naitaji mganga konki kabisa atakaeweza kunipatia utajiri ) mwenye connection plz naomba tuwasiliane mana maisha yabongo nimagumu sanaaa..! (Nataka mtaalam konki kabisa yan aliebobea kwenye kazi hizo sitaki hawa wanaosema toa laki tano ) __mdau yeyote anayejua anapopatikana mtu wahivyo naomba tuelekezane plz
 
hutapata unachokitaka kwan wahuska wa fani hizo za kwenda kwa wataalam wa kutoa utajir huta wakuta hum jf insta wala facbk n watu wazma wenye v nokia vyao vya toch na mpka akupe hiyo raman amekuheshm sana narudia tena sio rahis.

Duuh__ila naamini humu kuna watu washafanya hizo mambo
 
Naamini ukifika Njombe ukiulizia tu Nyumbanitu wadau watajua unachohitaji watakuelekeza namna ya kufika huko ukakutane na ule wa punje.

Au kama huo huutaki fika Image-Kilolo Iringa kuna fundi mmoja nahofia hata kumtaja hapa asije nigeuza tumbili.

Ukishindwa kwa huyo fundi wa kilolo sogea mpaka Songwe,Sogea mpaka hapo Mpemba kutana na jamaa anaitwa Shikunzi atakuvusha upande wa pili,nchi jirani kuna mtaalam wake atakupa ule wa Kidonda sugu.

Ukishindwa huko kote njoo PM nikupe mawasiliano ya mwanangu Matthew yuko Makambako hapo akupeleke kwa Mafundi wake wa Congo huko.
 
Naamini ukifika Njombe ukiulizia tu Nyumbanitu wadau watajua unachohitaji watakuelekeza namna ya kufika huko ukakutane na ule wa punje.

Au kama huo huutaki fika Image-Kilolo Iringa kuna fundi mmoja nahofia hata kumtaja hapa asije nigeuza tumbili.

Ukishindwa kwa huyo fundi wa kilolo sogea mpaka Songwe,Sogea mpaka hapo Mpemba kutana na jamaa anaitwa Shikunzi atakuvusha upande wa pili,nchi jirani kuna mtaalam wake atakupa ule wa Kidonda sugu.

Ukishindwa huko kote njoo PM nikupe mawasiliano ya mwanangu Matthew yuko Makambako hapo akupeleke kwa Mafundi wake wa Congo huko.
Huyo fundi wa image kilolo ni mwamba ? Huo wa kidonda sugu unakuaje?
 
Back
Top Bottom