Mkuu acha tamaa ,Fanya Kazi utapata ridhiki yako halaliswali.. hivi nikweli mizimu ama majini yanaweza kumtajirisha mtu..? kama nikweli niyapi madhara yake nafaida ..kama sio je hawa tunaoambiwa wanapesa zamajini wanazipata wapi..? (NOTE..nahitaji pia izo mambo)
Vijana wanawaza miujiza Sana.Achana na imani za kishirikina, samahani kuwa nje ya maswali yako.