Ndugu wan JF naomba msaada kwa yeyote yule anayefahamu sehemu ambayo ina mashamba ya umwagiliaji kwa mikoa ya Dar es salaam na Pwani nahitaji kuanzaisha kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga na mahindi mabichi. Nimetafuta ajira nimekosa .
Ndugu zangu wana JF mimi ni graduate BBA Accountsnimetafuta kazi nimekosa huu in mwaka wa mzima umepita. Nimeamua kujiajiri mwenyewe katika sekta ya kilimo. Naomba kama kuna mtu anayefahamu maeneo yanayofaa kwa kilimo yenye maji karibu kwa kilimo cha mbogamboga hapa dar es salaam au pwani...
Acha porojo.Wazee wapi hao waliokufuata. Kbal ya yote jibu kwanza maswali Haya, what is your academic qualification?What are your development priorities, tel us in short your portfolio
Watanzania watu wa ajabu kweli biashara za GNLD na forever is it possible kwa lila mtu kupata utajiri kama wanavyoonyesha kwenye mikutano yao. Msiige watu kama akina chilato huyu bwana ameishi marekani then akaja bongo akaanza so aliye wahi mwache aendelee. Nawashangaa sana watu wanaanzan...
Nyie mnaojiita wnailboru acheni majivuno mbona hakuna chochote mnachoonyesha cha ziada katika taifa letu. Mngepata majukwaa ya kisiasa mngejisifia tu kama Mwigulu wote ni walewale tu.
Hon J.Selasini i know your coming from a political oriented family starting from your father Mzee Romani Selasini (the councilor forever)and your brother the prominent lawyer Mr Masumbuko Lamwai. My advice is may you organize a special dinner for Rombo graduates so as to expose out our ideas...
Mimi ni mwana Rombo na mkereketwa wa maendeleo ya wilaya ya Rombo na taifa zima kwa ujumla hasa katika sekta nyeti ya ELIMU. Mbunge wangu Josephy Selasini kimya kimezidi hatukusikii ukiendesha harakati za maendeleo.
Pengine unaziendelelza ila huweki wazi katika vyombo vya habari maana...
wana JF napenda kuuliza je wale tuliofanya interview ya oral kwa nafasi za operation officers PSPF wameita watu? kama kuna mwenya habari atudadavulie jamani.
Am a graduate Bachelor of Business Administration in accounting.... Computer literacy (MS word & MS excel). Contact me : yusto_john@yahoo.com:hat::A S 465:
Natafuta kazi ya accountant. Am a graduate of Bachelor of Business Administration Accounting 2011. Computer literacy (Ms word and excel).......... JF members I need your assistance please. Contact me: yusto_john@yahoo.com:lol:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.