Mimi ni mwana Rombo na mkereketwa wa maendeleo ya wilaya ya Rombo na taifa zima kwa ujumla hasa katika sekta nyeti ya ELIMU. Mbunge wangu Josephy Selasini kimya kimezidi hatukusikii ukiendesha harakati za maendeleo.
Pengine unaziendelelza ila huweki wazi katika vyombo vya habari maana wengine hatupo jimboni,tupo sehemu mbali2za tanzanaia na dunia kwa ujumla. Tuna mawazo mengi sana chanya ambayo tungekushirikisha wewe kama mbunge yangesukuma mbele gurudumu hili la maendeleo. Tupo vijana wasomi wa fani mbalimbali ambao tunaweza kushirikiana na wewe katika kubuni mbinu mbalimbali za kuboresha na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni mwetu. Ushauri wangu ni huu mheshimiwa.
Andaa mkutano wa wana Rombo wote waishio Dar es salaam na sehemu nyingine kwa lengo la kuwaleta watu pamoja ili tuweze kutafakari na kubuni ni kwa namna gani maendeleo ya Rombo yanaweza yakaboreshwa haraka iwezekanavyo.
Mwisho nakutakia maendeleo mazuri katika shughuli zako.
Pengine unaziendelelza ila huweki wazi katika vyombo vya habari maana wengine hatupo jimboni,tupo sehemu mbali2za tanzanaia na dunia kwa ujumla. Tuna mawazo mengi sana chanya ambayo tungekushirikisha wewe kama mbunge yangesukuma mbele gurudumu hili la maendeleo. Tupo vijana wasomi wa fani mbalimbali ambao tunaweza kushirikiana na wewe katika kubuni mbinu mbalimbali za kuboresha na kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni mwetu. Ushauri wangu ni huu mheshimiwa.
Andaa mkutano wa wana Rombo wote waishio Dar es salaam na sehemu nyingine kwa lengo la kuwaleta watu pamoja ili tuweze kutafakari na kubuni ni kwa namna gani maendeleo ya Rombo yanaweza yakaboreshwa haraka iwezekanavyo.
Mwisho nakutakia maendeleo mazuri katika shughuli zako.