WF; je iko sawa hii situation kuluusu MKEO/MCHUMBA kuvaa kanga-moko tepe-tepe na kwenda kwenye maonyesho ya kukata MAUNO mbele ya watu.
Mind you: Uyu MKEO/MCHUMBA, kila kitu kinaonekana njenje au tepwe tepwe
Naombeni wf, tulijadili kwa pamoja
Apa mtaani kwetu, kuna jirani wangu anaishi na mpenzi wake BUT Mwanaume ndiyo kamfata Mwanamke nyumbani kwake nukuta
CHAMAAJABU: Huyu JAMAA Uwa anamwamkia uyu mwana dada, Na sasa wamefanikiwa kupata ONE-toto.
Je, wf ikosawa au laa maoni.
Note: mwisho mwadada anakipato kuliko jamaa yake...
hi jf. Apa mtaani kwetu, kuna jirani wangu anaishi na mpenzi wake BUT Mwanaume ndiyo kamfata Mwanamke nyumbani kwake nukuta
CHAMAAJABU: Huyu JAMAA Uwa anamwamkia uyu mwana dada, Na sasa wamefanikiwa kupata ONE-toto.
Je, wf ikosawa au laa maoni.
Note: mwisho mwadada anakipato kuliko jamaa...
Vigezo na Mashariti:
1. Awe christian na awe mcha mungu
2. Awe anatoka kanda ya ziwa
3. Awe atleast na diploma, bachelor, master yoyote bali isiwe ni polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote ya usiku. Ata kama ujapata kazi unaweza uka apply.
4. Age range 23-27 yr old
5. Awe tayari kuishi...
vigezo na mashaliti: 1. awe christian na awe mcha mungu 2. awe anatoka kanda ya ziwa 3. awe atleast na diploma yoyote bali isiwe polisi, mwanajeshi, nurse na kazi yoyote ya usiku 4. age range 24-27 5. awe tayali kuishi seemu yoyote na mi nitapokuwa na fanya kazi 6. awe na upendo na mcheshi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.