Jamani wadau nimeskia unaweza kufanya maujanja ya kuchakachua king'amuzi cha startimes na ukapata machanel yote bila kulipia jamani anayejua anijuze basi.
jamaa alikuwa safarini kikazi akafikia guest sikuiyo alijiona mnyonge akaamua kumuuliza muudumu m1 wa kiume kuwa anashida na demu muudumu akamwambia mademu wapo ila sisi tunawatambua kwa majina ya magari jamaa akasema sasi niitia benz muudumu akasema limetoka sasaivi"ila limebaki vorkswagon tu...
jamani me natumia laptop aina ya acer sasa nikiwa online mfano nikiingia facebook nikiandika comment au nikiwa nachat nikibonyeza kitufe cha inter badala ststus nayoiandika ionekane imekaa hapo laptop yangu inakua kama nimebonyeza back na haionekani palenifanyeje
diwani wa kata ya kijitonyama bwana juma uloleulole[chadema] jana alikamatwa na polisi kwa kosa la kujaribu kubaka mpaka muda huu bado yuko lockup ya kituo cha polisi kijitonyama mabatini:eyebrows:
Kunamwaka nilikuwa chuo tulipoitimu siku ya maafari tulibahatika kupata prf mmoja toka marekani mwaka uliotangulia kablayetu alialikwa lkn hakuja alipokaribishwa kuongea nasi alisimama na kuongea kwa kiswahili alisema:mwaka juzi nilitaka kunya nikaharisha,mwaka jana nilitaka kunya tena...
mimi ni kijana nileyeoa mwaka mmoja uliopita mkewangu sasa anaujauzito wa miezi7 tofauti na zamani sikuizi kila nikimuomba unyumba anadai nyonga zinauma hivi wanawake wajawazito huwa wanakuwa hivyo? Nifanyaje mana sitaki kuisaliti ndoa yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.