siemens c25
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 217
- 44
Kunamwaka nilikuwa chuo tulipoitimu siku ya maafari tulibahatika kupata prf mmoja toka marekani mwaka uliotangulia kablayetu alialikwa lkn hakuja alipokaribishwa kuongea nasi alisimama na kuongea kwa kiswahili alisema:mwaka juzi nilitaka kunya nikaharisha,mwaka jana nilitaka kunya tena nikaharisha,mwaka huu nilitaka kuharisha nikaona hapana ngaja ninye,,,,basi ukumbi mzima tukabaki hoi kwa vicheko.