mwakajana nilitaka kunya

siemens c25

JF-Expert Member
Oct 16, 2011
217
44
Kunamwaka nilikuwa chuo tulipoitimu siku ya maafari tulibahatika kupata prf mmoja toka marekani mwaka uliotangulia kablayetu alialikwa lkn hakuja alipokaribishwa kuongea nasi alisimama na kuongea kwa kiswahili alisema:mwaka juzi nilitaka kunya nikaharisha,mwaka jana nilitaka kunya tena nikaharisha,mwaka huu nilitaka kuharisha nikaona hapana ngaja ninye,,,,basi ukumbi mzima tukabaki hoi kwa vicheko.
 
Lugha za watu bana ni shughuli kwelikweli! Duh! Unakuta mtu anaongea hayo madudu yuko siriaz, halafu anashangaa mnacheka nini! Mkija baadae kumweleza maana yake anasinyaa!
 
Kunamwaka nilikuwa chuo tulipoitimu siku ya maafari tulibahatika kupata prf mmoja toka marekani mwaka uliotangulia kablayetu alialikwa lkn hakuja alipokaribishwa kuongea nasi alisimama na kuongea kwa kiswahili alisema:mwaka juzi nilitaka kunya nikaharisha,mwaka jana nilitaka kunya tena nikaharisha,mwaka huu nilitaka kuharisha nikaona hapana ngaja ninye,,,,basi ukumbi mzima tukabaki hoi kwa vicheko.

teh teh teh! Unatisha mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom