Siku ya leo hapa Morogoro Mjini nimetafuta gazeti la Tanzania Daima hadi nimechoka na si kawaida ,kwani lina habari gani muhimu hadi liishe mapema hivi,kila muuza magazeti nikimuuliza anasema kamaliza!!
Walimu wapya walionza kazi mwishoni mwa mwezi wa pili wameanza kutaabika baada ya kukuta hamna majina yao kwenye Payrol ,huku wakurugenzi Wakiwakwepa kuwasaidi,habari nilizopata kutoka Wilayani zinasema mkurugenzi kawatolea nje kuwasaidia!Mwanzo wa malimbikizo na mizozo ndio huanzia hapa.
Natafuta mdada wa kuoa
Sifa:awe na Elimu ya kidato cha nne na kuendelea,sio mnene sana,awe anafanya kazi au Biashara,umri kuanzia miaka 26 hadi 36
Kuhusu mimi:Elimu yangu kidato cha nne +some college's proffesional certificates ,Nimeajiriwa na moja ya kampuni kubwa kabisa ya uwekezaji DSM...
MAKAMU Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Benno Malisa, ameibuka na kudai kuwa wazee ndio kiini cha mipasuko na mivutano ya kisiasa ndani ya chama hicho na taifa, huku akionya kuwa hali ya kisiasa ndani ya chama hicho tawala kwa sasa si ya kuridhisha, kwani kimepoteza...
Ninauza kiwanja hakijapimwa,Kipo Kibada mbele ya kigambo njia ya kuelekea Kisarawe Dar es salaam,Ukubwa robo Heka,Bei 3m maelewano yapo,Mauzo yatafanyika chini ya usimamizi wa Serikari ya mtaa.Call 0767405200
Kiwanja kinauzwa,Kipo Kibada Dar es salaam,ukubwa robo Heka,Bei ni 3million mazungumzo yapo taratibu zote za mauziano zitafuata kwa kusimamiwa na mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa.Call 0767405200
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.