Geography mimi siijui au mleta mada au kuna kisarawe nyingine tofauti nayo ifahamu ambayo iko njia gongolamboto??au kuna njia nyingine kupitia kigamboni kwenda kisarawe??au mkuranga na sikigamboni??yote inawezekana ila naomba majibu!!:spy:Ninauza kiwanja hakijapimwa,Kipo Kibada mbele ya kigambo njia ya kuelekea Kisarawe Dar es salaam,Ukubwa robo Heka,Bei 5m maelewano yapo,Mauzo yatafanyika chini ya usimamizi wa Serikari ya mtaa.Call 0767405200
Ninauza kiwanja hakijapimwa,Kipo Kibada mbele ya kigambo njia ya kuelekea Kisarawe Dar es salaam,Ukubwa robo Heka,Bei 5m maelewano yapo,Mauzo yatafanyika chini ya usimamizi wa Serikari ya mtaa.Call 0767405200
geography mimi siijui au mleta mada au kuna kisarawe nyingine tofauti nayo ifahamu ambayo iko njia gongolamboto??au kuna njia nyingine kupitia kigamboni kwenda kisarawe??au mkuranga na sikigamboni??yote inawezekana ila naomba majibu!!:spy:
mhh kuna harufu ya kutapeliwa hapa kibada ipo njia ya kuelekea kisarawe? Kuna kisarawe huko kigamboni?