Habari wana JF!
Nina mpango wa kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya kuanzisha chuo kitakachokuwa kinatoa course kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwenye fani za Kilimo, Mifugo na maendeleo ya jamii mkoani Singida. Naomba ushauri kutoka kwa Wana JF wowote wenye kujua utaratibu ukoje ambao unaweza...
Habari za leo wana JF,
Ninahitaji incubators zenye uwezo wa kuchukua mayai kati ya 140-180, kwa yeyote mwenye nazo naomba aje PM ili tuwasiliane ili tufanye biashara.
Asante.
Habari za leo wakuu, jana nimerudi nyumbani kutoka kwenye mizunguko yangu, nmekuta mtoto wangu mdogo kaigonga TV na kitu ambacho kimesababisha kupata mipasuko midogo midogo ambapo sasa haioneshi kabisa. Naomba kwa anaejua anisaidie wapi naweza pata kioo cha TV aina ya Boss inch 49 ili niweze...
habari za jioni wanajukwaa,
Ni miezi miwili sasa imepita toka nilipoibiwa simu zangu kwa wezi kuvunja dirisha na kuchukua simu mbili pamoja na TV, pamoja na kupeleka IMEI number polisi, bado sijapata uelekeo wa kupata vitu vilivyoibwa. tafadhar naomba msaada kwa mtu mwenye uelewa ambae anaweza...
Nimekua natumia gari aina ya Pajero kwa Muda sasa na imejitokeza likapata matatizo ya Injini yake (4D56), nimejaribu kununua injini zimefika 3 mpaka sasa lakini zote zinasumbua baada ya miezi miwili au mitatu toka kuzifunga. Imefika kipindi sasa nimekata tamaa nafikiria kuweka injini aina...
Habari wadau,
Akaunti yangu ya Gmail imejaa na nataka kuongeza plan kwa kuilipia ili niendelee kupata huduma, tatizo ni kuwa njia za kulipia wanaonesha nilipe kwa VISA tatizo ni kuwa sina uzoefu na huduma za VISA. naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu juu ya hili ili niweze kufanikisha kulipia...
Gari yangu Mitsubishi pajero inayotumia injini ya 4D56 imeua injini mara 2 ambazo kimsingi inazungusha mkono namba 1 mpaka block inalika kidogo kitu ambacho inakuwa vigumu kufanya repair. Kuna watu wameshauri nifanye replacement na injini nyingne tofauti na za mitsubishi kwa sababu bodi lake...
Habari waungwana! Gari yangu aina ya Mitsubishi Pajero V24 imeharibika injini yake aina ya 4D56, kiasi kwamba itahitaji fedha nyingi kuitengeneza bora kununua nyingne. ninachohitaji kutoka kwenu ni wapi zinapatikana hizi injini na kama kuagiza nje ya nchi ni kampuni gani linajihisisha na...
Habari wana JF, nimenunua Samsung Galax Tab3, lakini internet bado siipati nimejaribu kupiga simu Vodacom, kuomba wanitumie configuration sms, lakini wamesema kuwa simu aina hii inafanywa manually, sasa na hapa nipo mbali na Vodashop, naomba mwenye kujua manually configuration za simu aina hii...
Habari za leo wanaJF, samahani naomba msaada kwa mtu anaefahamu mmea wowote ambao ukipandwa kuzunguka nyumba hufukuza mbu pia anieleze unapatikana wapi ili niweze kufanya utaratibu wa kuupata.
Asanteni.
Wana JF,
Poleni na majukumu ya siku nzima, jamani simu yangu nokia XL inakataa program ya whatsapp na kila niki install inakata kufunguka inaniambia kuwa device is not supported. Naombeni msaada kwa mtu anaejua jinsi ya kuinstall whatsapp!
Asanteni.
Wadau, Simu yangu Huawei Ascend Y300 leo asubuhi wakati naitumia ghafla application zake zikagoma kufanya kazi, nikadhani labda itakuwa ime-stack ikabidi ni - restart, wakati inawaka ilipofikia kwenye nembo pamoja na neno "HUAWEI" ikagoma kuwaka ikabaki hapo hapo na hata nikitoa betri na...
Wana JF, Naomba msaada kwa anaejua vyuo vikuu vya hapa nchini ambavyo vinatoa Degree kwa kushirikiana na vyuo vya nje ya nchi, ikiwezekana aniambie ni course gani wanazotoa. Asante.
Anahitajika muuzaji wa duka la dawa aliyepitia mafunzo ya TFDA ambaye anaishi ndani ya Manispaa ya Singida. Kama kuna mtu mwenye sifa hizo ani PM ili nimpe maelekezo zaidi na tukutane nae ili aanze kazi.
Habari wanaJF
Kwa bahati mbaya nimefuta Chanel zote za tanzania kwenye Receiver yangu hivyo sipati tena chanel za hapa nchini, hivyo basi naomba msaada kwa mtu mwenye frequency za ITV, TBC, Chanel Ten, StarTV na pia za kenya kama K24 na KBC anipatie ili niziweke.
Wana JF, nimejaribu kuangalia kwenye website ya Open University, sijaona tangazo la Masomo la mwaka 2013/14 na nataka kujiunga na chuo hicho kusoma mojawapo ya course hizi kwa ngazi ya bachelor; Project Planning and Management, Community Development, agrobusiness,Development studies au...
Habari wana JF. Samahani wakuu naomba msaada wa kuwapata hawa jamaa ambao wanatoa Domain za .co.tz, kama kuna mtu ana taarifa kamili mahali walipo pamoja na mawasiliano yao, naomba anisaidie kwani nahitaji kununua hiyo Domain.
Habari wana JF, naomba msaada kutoka kwa yeyote anaejua, ni Receivers gani za FTA (free to air) ni imara na zinafungua chanel nyingi ili ninunue maana naanza kujiandaa na December 31.
Naomba kwa anaejua anisaidie kunitajia ili nikaitafute mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.