Msaada; Huawei Ascend Y300

itagata

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
209
71
Wadau, Simu yangu Huawei Ascend Y300 leo asubuhi wakati naitumia ghafla application zake zikagoma kufanya kazi, nikadhani labda itakuwa ime-stack ikabidi ni - restart, wakati inawaka ilipofikia kwenye nembo pamoja na neno "HUAWEI" ikagoma kuwaka ikabaki hapo hapo na hata nikitoa betri na kuirudisha nikiwasha tena inaishia hapo hapo. Naombeni msaada kwa anaejua tatizo kama hili maana ndo mara ya kwanza kutokea na ina miezi 4 tu toka niinunue tiGO. Naombeni msaada wenu tafadhari.
 
Wadau, Simu yangu Huawei Ascend Y300 leo asubuhi wakati naitumia ghafla application zake zikagoma kufanya kazi, nikadhani labda itakuwa ime-stack ikabidi ni - restart, wakati inawaka ilipofikia kwenye nembo pamoja na neno "HUAWEI" ikagoma kuwaka ikabaki hapo hapo na hata nikitoa betri na kuirudisha nikiwasha tena inaishia hapo hapo. Naombeni msaada kwa anaejua tatizo kama hili maana ndo mara ya kwanza kutokea na ina miezi 4 tu toka niinunue tiGO. Naombeni msaada wenu tafadhari.

hizo simu asikudanganye mtu sio bora kama unavyoweza kufikiria, system yake haiko stable kabisa yani inabidi ukinunua tu uibackup maana hauchelewi kusumbua.Hadi niliamua kuamia tecno. cha msingi warudishie tigo kama ina warranty...
 
hizo simu asikudanganye mtu sio bora kama unavyoweza kufikiria, system yake haiko stable kabisa yani inabidi ukinunua tu uibackup maana hauchelewi kusumbua.Hadi niliamua kuamia tecno. cha msingi warudishie tigo kama ina warranty...
Asante sana, kwa bahati mbaya sikupewa hata warranty! hapa nadhani imekula kwangu pamoja na document zote muhimu zishapotea tayari.
 
Nenda pale quality centre tigo shop kuna jamaa wa huawei anashughulikia matatizo yote ya huawei,y300 ina tatizo la kiufundi toka kiwandani,ukifika pale kuna software atakuwekea bro,ni cm nzuri sana wala ucjali.
 
izime alafu bonyeza volume up+ home button + power button kwa pamoja..ikiwaka achia power na shuka chini hadi kwenye hard reset uireset
 
izime alafu bonyeza volume up+ home button + power button kwa pamoja..ikiwaka achia power na shuka chini hadi kwenye hard reset uireset

Kwa moyo mkunjufu kabisa, naomba kuwashukuru wadau wote wa humu JF waliosoma uzi huu na kutoa msaada wao! Kwa kipekee Adolph kwa msaada wako ambao umeifanya simu yangu irudi tena hewani! Ukweli nilisha amua kuiacha na nikanunua Tecno H5 lakn baada ya kusoma ushauri wa Adolph nikafuata maelekezo mambo yakawa safi! Nawashukuru sana wadau! Kwa kweli JF idumu milele!!!! Na Huawei yangu tena ipo Hewani!!!
 
Kwa moyo mkunjufu kabisa, naomba kuwashukuru wadau wote wa humu JF waliosoma uzi huu na kutoa msaada wao! Kwa kipekee Adolph kwa msaada wako ambao umeifanya simu yangu irudi tena hewani! Ukweli nilisha amua kuiacha na nikanunua Tecno H5 lakn baada ya kusoma ushauri wa Adolph nikafuata maelekezo mambo yakawa safi! Nawashukuru sana wadau! Kwa kweli JF idumu milele!!!! Na Huawei yangu tena ipo Hewani!!!

itagatabig up endelea kuifurahia simu yako ila usifikirie kurudi tecno.yaani badala ya kusonga mbele urudi nyuma tena!
 
Last edited by a moderator:
izime alafu bonyeza volume up+ home button + power button kwa pamoja..ikiwaka achia power na shuka chini hadi kwenye hard reset uireset
nina tecno h5 nayo inatatizo hili kla inakataa hard reset inawaka na kuishia hapo hapo ikiwa imeganda
 
nina tecno h5 nayo inatatizo hili kla inakataa hard reset inawaka na kuishia hapo hapo ikiwa imeganda
Japo umedandia thread ya mwingine ilitakiwa uanzishe ya kwako. Tecno H5 inabidi uiflash tumia SP FLASHER tumia scatter file ili imei zako zisipotee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom