Search results

  1. 2019

    Hamas yasema hawana hao mateka 40 wanaotakiwa. Kosa la nani

    Walishaachiwa,mateka wasiofika 100 ndio uuwe watu wengi hivyo
  2. 2019

    Hamas yasema hawana hao mateka 40 wanaotakiwa. Kosa la nani

    Mateka wamekuwa kisingizio cha kuhalalisha mauaji ya kimbari gaza
  3. 2019

    KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

    Dawa ya deni ni kulipa, mwenye tatizo ni wewe hata ukifungua kesi bado itakugharimu tu, ww ulikubali vigezo na masharti, sa tunalalamika nn? Kama ungelipa on time deni lao yote yasingetokea, haijalishi ulikuwa na dharura gani
  4. 2019

    Baada ya BRT kukosa mabasi mradi wa Mbagala waanza kuchakaa kabla ya uzinduzi pamoja na kwamba umekamilika kwa 99.9%

    Bado nini? a mwaka 2022 majaribio yalifanyika wakafaulu, mwaka 2023 mwezi wa 7 majaribio mwengine toka Kariakoo hadi rangi 3, tueleze wewe kuwa bado nini?
  5. 2019

    Baada ya BRT kukosa mabasi mradi wa Mbagala waanza kuchakaa kabla ya uzinduzi pamoja na kwamba umekamilika kwa 99.9%

    Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa. Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s, vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo...
  6. 2019

    Kamata kamata ya sukari itaongeza tatizo kwa walaji, chonde Serikali acheni hii kitu

    Kwa sisi tunaogemea kwa ajili ya juisi na lamba lamba tule wapi?
  7. 2019

    Kamata kamata ya sukari itaongeza tatizo kwa walaji, chonde Serikali acheni hii kitu

    Nimesikitika sana asubuhi kusikia viongozi wanajitamba kuwakamata wafanyabiashara wanaouza sukari bei juu...😜😁😁Nachrka kwa dharau. Unamkamata muha,mangi mwenye kirobba cha kg 25 kanunua 100,000 unataka uauzeje sukari? Yeye kanunua duka la jumla, kosa lake ni nini? Yeye hana kiwanda, kwanini...
  8. 2019

    Special Thread: AFCON 27, Tanzania, Kenya, Uganda, Maandalizi, fursa na matukio

    Picha za maendeleo ya viwanja hivi tunaomba mkuu
  9. 2019

    Makonda ni kiongozi mzuri ila mfumo unamkataa. Ni hatari kwake

    Kwani yeye ndio aliwapoteza na kuwapiga risasi?
Back
Top Bottom