2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,458
Nimesikitika sana asubuhi kusikia viongozi wanajitamba kuwakamata wafanyabiashara wanaouza sukari bei juu...😜😁😁Nachrka kwa dharau.
Unamkamata muha,mangi mwenye kirobba cha kg 25 kanunua 100,000 unataka uauzeje sukari? Yeye kanunua duka la jumla, kosa lake ni nini? Yeye hana kiwanda, kwanini msipambane na wasambazaji wakubwa?
Madhara Haya sasa
Ili kukwepa kukamatwa inabidi hawa wafanyabiashara wadogo wafiche sukari waliyonayo kwa wakati huo kwa hofu ya kukamatwa wawauzie wanaowajua tu.
Hujaongeza tatizo hapo?
Akimaliza kiroba chake je atathubutu kununua tena?
Sukari haijapanda zaidi?
Kila mfanyabiashara ataogopa kununua na mwishowe walaji ndio watakoteseka siyo msambazaji wala mfanyabiashara.
Serikali iache swala hili kama ina nia nzuri ilete sukari ya kutosha iingizwe mtanaani na walioficha watapata hasara lakini kufanya operesheni ni kuongeza tatizo.
Unamkamata muha,mangi mwenye kirobba cha kg 25 kanunua 100,000 unataka uauzeje sukari? Yeye kanunua duka la jumla, kosa lake ni nini? Yeye hana kiwanda, kwanini msipambane na wasambazaji wakubwa?
Madhara Haya sasa
Ili kukwepa kukamatwa inabidi hawa wafanyabiashara wadogo wafiche sukari waliyonayo kwa wakati huo kwa hofu ya kukamatwa wawauzie wanaowajua tu.
Hujaongeza tatizo hapo?
Akimaliza kiroba chake je atathubutu kununua tena?
Sukari haijapanda zaidi?
Kila mfanyabiashara ataogopa kununua na mwishowe walaji ndio watakoteseka siyo msambazaji wala mfanyabiashara.
Serikali iache swala hili kama ina nia nzuri ilete sukari ya kutosha iingizwe mtanaani na walioficha watapata hasara lakini kufanya operesheni ni kuongeza tatizo.