Baada ya BRT kukosa mabasi mradi wa Mbagala waanza kuchakaa kabla ya uzinduzi pamoja na kwamba umekamilika kwa 99.9%

Ujenzi haujakamilika ingawa wewe unaona umekamilika. Au unashauri waanze operation kabla miundombinu kukamilika?
Bado nini? a mwaka 2022 majaribio yalifanyika wakafaulu, mwaka 2023 mwezi wa 7 majaribio mwengine toka Kariakoo hadi rangi 3, tueleze wewe kuwa bado nini?
 
IMG_20240220_122614.jpg
IMG_20240220_122304.jpg
 
Nasikitika nchi hii haina waandishi wa habari za kiuchunguzi kama zamani. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala umeanza kuchakaa tayari kabla ya kuzinduliwa.

Zege lina majani, michanga kama vile limejengwa 80s, vituo vinapigwa vumbi tu. Pikipiki na Bajaji ndio zimejimilikisha njia hiyo.

Ushauri kwa serikali na UDART
Tafuteni mwekezaji anayeweza kuleta magari mapya nyie mbaki na kuchukua kodi na ushuru. Japo garama itaongezeka lakini hakuna jinsi watu wanataka huduma.

Au njia itumike kwa magari mengine ili kupunguza msongamano.
Waandishi wengi sana tatizo ni sisi watanzania kazi yetu ni kuwaabudu hawa viongozi kama miungu watu tz raia wengi wanajipendekeza kwa viongozi
 
Back
Top Bottom