Ni dhahiri watawala wako insecure maalim seif akiendelea na harakati zake za kisiasa
Ivi unamuogopa mtu kiasi hiki, mtu ambaye hana jeshi wala chochote, inasikitisha sana..
Ni vyema ukajifunza siasa za zanzibar, Wazanzibari ni watu wasioyumbishwa neno analolitoa maalim seif ni hilo hilo ata kwa mtoto mchanga anayezaliwa leo, wazanzibari sasa wote wameungana kutaka mabadiliko utakuja kunambia,
Iyo ACT ni ticket tu ya kumuakilisha maalim kwenye uchaguzi mkuu ujao...
Mkuu Maalim seif aliliona hilo kabla ya wewe kuandika hapa lakini shida ingekuja icho chama msajili asingekisajili ata kwa bahati mbaya. na uko Act sidhani kama kutakuwa na salama mkakati ni maalim seif asigombee tena urais zanzibar ni mwimba mkali kwa chama tawala kote Tanzania
MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI
(PRESS CONFERENCE)
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF – Chama Cha Wananchi)
MAELEZO YA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) MBELE YA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MUENDELEZO WA HUJUMA ZINAZOFANYWA NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI JAJI FRANCIS KATABAZI...
Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika, TLS, Fatma Karume amesema yuko tayari kuitwa na chama chochote cha siasa nchini kwa ajili ya kutoa elimu ya masuala ya Katiba na sheria za nchi na kusisitiza kuwa msimamo wake hautabadilika.
Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika, TLS, Fatma Karume...
Halima Mdee akihojiwa na DW asema tumeamua upinzani kuungana mapema na sio very late kama ilivyokuwa tukiungana hapo awali ili kupambana na nguvu za nje.
See Video
Ndio kiongozi wa watu muaminifu anavyokuwa, tofauti na wale ambao waliingia kwenye siasa kwa maslahi yao binafsi kama Mtatiro, Mtolea na wenzake ambao walifuata hela na umaarufu wa chama kuneemeka na familia zao.
Ndivyo munavyoaminishwa na maskio yenu yakapokea kama mlivyopewa, na ata vizazi vyenu mutavijenga katika theory hiyo hiyo lakini sivyo ilivyo, tena huwa munaenda mbali zaidi kwamba sasa Tz itatoa misaada kuzisaidia nchi ya magharibi kwa vile muna visima vya madini ya dhahabu na almasi.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.