Maalim Seif atinga Dakar Senegal Mkutano Mkuu wa Liberal International

I have to remind myself
Some birds are not meant to be caged,
that's all. Their feathers are too bright,
their songs too sweet and wild. So you let
them go, or when you open the cage to
feed them they somehow fly out past you.
And the part of you that knows it was
wrong to imprison them in the first place
rejoices, but still, the place where you
live is that much more drab and empty
for their departure.
Steven King.
 
Hu
mliambiwa jini ameshatoa kichwa bado kutaja jina tu!vipi shekhe huyo jini hajataja jinapaka leo?Kweli wajinga ndio waliwao
hujuwi siasa.Kauli ya jini kutoa kichwa ilihusiana na siasa za muungano kwenye maoni ya tume ya warioba.Jini pale ni kuibuka Tanganyika. Kwa katiba ya Zanzibar ilivyofumwa sasa maana yake Kuna mgogoro wa kikatiba. Warioba waliona mbali. Ili muungano uendelee bila shida katiba ya Zanzibar iliyofanyiwa marekebisho inalazimisha jini (Tanganyika)aibuke. Ndio CCM wakataka kuitake over katiba ya Zanzibar kwenye katiba pendekezwa kwa kile kipengele kinachoipa ukuu wa katiba zote ile ya jmt. Haya ya kupora ushindi wa cuf ni katika kuficha mgogoro wa katiba usifuchuliwe. Lkn bado Hali mbichi.jifunze
 
Jmt kupeleka vifaru na kuzingira pale bwawani na kumlazimisha jecha kufuta matokeo ilikuwa ni kumnusuru mkoloni (wenyewe wanaita mkoloni mweusi) asianguke. Leo jmt inateseka na Zanzibar kwa kulinda uhafidhina na yumkini kulinda maslahi yake ambao ndio unaitwa ukoloni
 
Ukweli mchungu ni kuwa wenzetu wazanzibari Wana ajenda yao na tayari madai yao yako mbali sana.kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa 2015 kumeidhihirishia dunia beyond reasanable doubts kwamba serikali ya jmt iko pale kuminya haki za wazanzibari. Yajayo yanafurahisha
 
Mkuu nakuona unatoa dozi sio ya kawaida. Nachelea wanafunzi wako utawaacha nyuma. Hii ni ya chuo kikuu. Wanafunzi ndo kwanza wameanza masomo ya A Level. Nawaonea huruma!
 
Niwaambie tu wale wasiojuwa mambo yalivyo. Huyu mzee ni noma. Anajuwa kupangikia hesabu vilivyo. Wasio ona mbali wanafikiri anadhurura tu. Mzee anajuwa anachokifanya ukitaka kujuwa Hilo waulize hao watawala kwa Nini wamekuwa na hofu kuelekea 2020.? Kwenye siasa kosa hufanyika Mara moja tu. Naomba uje unisute kwenye majaaliwa ya uhai kwamba hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi wa 2020 kwenye mazingira Yale Yale. Hio Hali iliyopo huko ndani na vikao visivyoisha vya siri ni kutokana na ajenda zilizopo mezani zinatakiwa majibu kuelekea 2020. Yajayo yanafurahisha
 
Kwanza nyinyi mnaokuja kuchungulia hapa mjuwe kuwa Zanzibar utawala uliopo haujakidhi matakwa ya katiba. Masharti yanataka iwepo serikali ya gnu na mawaziri wapatikane kwa ratio ya mshindi na aliyefuatia. Pale hakuna makamo wa kwanza na mawaziri wenye muundo huo. Hili ni pengo kubwa. Cuf kususia hadi leo kumewavua nguo watawala na wakoloni na kumewaacha bila bila nguo kwenye macho ya dunia.ni katika nukta hio cuf inapata nguvu ya madai yake ya haki na kurekebushwa Kwanza mazingira kabla ya 2020. Siasa ni sayansi au art?sijui
 
Hapo ndipo kunapokuja pointi kuwa hakuna uchaguzi mpaka haki ya wazanzibari ipatikane. Ahadi ya ulimwengu ndio inasubiriwa jee dunia itaisaliti Zanzibar au itakuja na majibu muruwa kuelekea 2020?. Yajayo yanafurahisha
 
Hu
hujuwi siasa.Kauli ya jini kutoa kichwa ilihusiana na siasa za muungano kwenye maoni ya tume ya warioba.Jini pale ni kuibuka Tanganyika. Kwa katiba ya Zanzibar ilivyofumwa sasa maana yake Kuna mgogoro wa kikatiba. Warioba waliona mbali. Ili muungano uendelee bila shida katiba ya Zanzibar iliyofanyiwa marekebisho inalazimisha jini (Tanganyika)aibuke. Ndio CCM wakataka kuitake over katiba ya Zanzibar kwenye katiba pendekezwa kwa kile kipengele kinachoipa ukuu wa katiba zote ile ya jmt. Haya ya kupora ushindi wa cuf ni katika kuficha mgogoro wa katiba usifuchuliwe. Lkn bado Hali mbichi.jifunze
Haya huyo jini kataja jina?
Hiyo serikali kapewa?
 
Back
Top Bottom