Fatuma Karume: Simba akishaonja nyama ya Binadamu hawezi kuiacha

knock knock

JF-Expert Member
Mar 8, 2018
326
384
48382758_328400357997043_3234087322798522368_n.jpg
 
Haka ka mama nako bana!

Kutwa kucha kenyewe kulia lia tu.

Hapo hata sielewi kanacholilia ni nini hasa.
Mkuu, NYANI ngabu umenifanya nirudie kuisoma upya tweet ya shangazi Fatma ili nione kama kuna sehemu Amelia, nimefanya hivyo (kurudia kusoma) kwasababu wewe ni miongoni mwa watu mlijijengea heshima humu jukwaani huko nyuma so hua nakuchukulia kama miongoni mwa watu serious! Naomba unioneshe mahali alipo lia au hata KULIA LIA, please brother/sister
 
simba huwa hachezi mbali na nyama za watu, na akiona nyama hazipati kule porini huingia mpaka mitaani mpata mpatae anafyeka tu
 
Mkuu, NYANI ngabu umenifanya nirudie kuisoma upya tweet ya shangazi Fatma ili nione kama kuna sehemu Amelia, nimefanya hivyo (kurudia kusoma) kwasababu wewe ni miongoni mwa watu mlijijengea heshima humu jukwaani huko nyuma so hua nakuchukulia kama miongoni mwa watu serious! Naomba unioneshe mahali alipo lia au hata KULIA LIA, please brother/sister

Kwani Mfaume Kawawa walipokuwa wanamuita ‘Simba’ wa vita, uliwahi kuyatafuta manyoya yake uone kama kweli ni simba au la?
 
Mkuu, NYANI ngabu umenifanya nirudie kuisoma upya tweet ya shangazi Fatma ili nione kama kuna sehemu Amelia, nimefanya hivyo (kurudia kusoma) kwasababu wewe ni miongoni mwa watu mlijijengea heshima humu jukwaani huko nyuma so hua nakuchukulia kama miongoni mwa watu serious! Naomba unioneshe mahali alipo lia au hata KULIA LIA, please brother/sister
Huo ni ushahidi kuwa usiwachukulie watu wa JF serious. Iko siku utakuwa disappointed.
 
Back
Top Bottom