knock knock
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 326
- 384
Halima Mdee akihojiwa na DW asema tumeamua upinzani kuungana mapema na sio very late kama ilivyokuwa tukiungana hapo awali ili kupambana na nguvu za nje.
See Video
See Video
2020 ni MembeHalima Mdee akihojiwa na DW asema tumeamua upinzani kuungana mapema na sio very late kama ilivyokuwa tukiungana hapo awali ili kupambana na nguvu za nje.
See Video
Mnapoteza muda wenu bure tu. Bila Prof. Ibrahim Haruna Lipumba hamna kitu hapo.
Endelea kujidanganya.Unaamanisha Lipumba wa Buguruni au Lipumba wa wapi. Kama ni huyu wa Buguruni sidhani kama yupo kwa ajili ya kuendeleza upinzani imara Tanzania. Kwa ujumla siaza za vyama vya upinzania Tanzania wanatakiwa kujitadhmini na waanza upya. Upinzani wa kina Prof Lipumba, Cheyo, Dovutwa etc hauna nafasi kwa sasa. Upinzani sindikizi haufai..natamani kuona upinzani ukileta hoja, na kusimamia hoja zenye mafunuaa kwa taifa hili..
Nani atatangaza?Safi sana safari hii hawachomoki CCM ngoja na wao wawe wapinzani hahahahaaaa!!!
una ubaridi wa akili wwMnapoteza muda wenu bure tu. Bila Prof. Ibrahim Haruna Lipumba hamna kitu hapo.
Nashangaa unamjibu mtu anayefikiri bado tuko 1990.Unaamanisha Lipumba wa Buguruni au Lipumba wa wapi. Kama ni huyu wa Buguruni sidhani kama yupo kwa ajili ya kuendeleza upinzani imara Tanzania. Kwa ujumla siaza za vyama vya upinzania Tanzania wanatakiwa kujitadhmini na waanza upya. Upinzani wa kina Prof Lipumba, Cheyo, Dovutwa etc hauna nafasi kwa sasa. Upinzani sindikizi haufai..natamani kuona upinzani ukileta hoja, na kusimamia hoja zenye mafunuaa kwa taifa hili..
Ndoto inatimia ndoto inatimia,sasa ni zamu ya membe kuweka wazi nia yake Bashe Nnape tunasubiri tamko lenu.
Halima Mdee akihojiwa na DW asema tumeamua upinzani kuungana mapema na sio very late kama ilivyokuwa tukiungana hapo awali ili kupambana na nguvu za nje.
See Video