knock knock
JF-Expert Member
- Mar 8, 2018
- 326
- 384
Mimi Nahisi Maalim alikuwa aanzishe Chama kingine na sio kujiunga vyama vilivopo... yaani kwenye video hio thumbnail hapo ni kama hili wazo limemjia afu sasa ni too late....
Huwa na kawaida ya kusema kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa, hii ni taasisi kabisa na imejipanga vyema kwenye mipango yake.
Naamini 2020 Zanzibar utafanyika uchaguzi wa haki na uwazi kabisa visiwani. CCM tayari wana confidence ya kuwa CUF haitoweza kuwa tishio tena na ACT haitopata kura za kutishia ushindi wa CCM hii ni kwa sababu ukweli usemwe, kuna watu wamechoka na Maalim na siasa za kupigwa kalenda, wapo watu wengi ambao tayari wamegive up na hili lita affect idadi atakazopata maalim 2020.
Matokeo yakitoka, dunia nzima itashuhudia kuwa CCM imepata ushindi wa kihalali na CUF aliekuwa mpinzani mkuu ameangushwa vibaya, jambo hili litatumika kama uthibitisho wa kuwa CUF hawakuwahi kuibiwa kura na ule ushindi wa kishindo 2016 ulikuwa kweli wa kishindo.
Hii ni movie na director ni CCM!
Mkuu Maalim seif aliliona hilo kabla ya wewe kuandika hapa lakini shida ingekuja icho chama msajili asingekisajili ata kwa bahati mbaya. na uko Act sidhani kama kutakuwa na salama mkakati ni maalim seif asigombee tena urais zanzibar ni mwimba mkali kwa chama tawala kote Tanzania