Sweden: Tanzania's ambassador, Dr. Slaa called to the Foreign Ministry for a reprimand

Kwa taarifa nilizonazo ni kuwa dunia inaihitaji sana tanzania kuliko tanzania inavyoihitaji dunia

Ndivyo munavyoaminishwa na maskio yenu yakapokea kama mlivyopewa, na ata vizazi vyenu mutavijenga katika theory hiyo hiyo lakini sivyo ilivyo, tena huwa munaenda mbali zaidi kwamba sasa Tz itatoa misaada kuzisaidia nchi ya magharibi kwa vile muna visima vya madini ya dhahabu na almasi.

Lakini ukitaka kugundua udhaifu wa hizo hoja na hali sivyo ilivyo mfano ni mdogo tu Juzi waziri wa mambo ya ndani Kangi Lugola alisema mashoga Tz wapo salama kwanini alitamka kauli hii huku akijua dhati kabisa anaenda kinyume na katiba ya nchi iliyoasisiwa tokea miaka 70 na adhabu yake ni miaka 30 jela? Tafsiri yake ni kwamba Tz bado ni tegemezi kwa nchi za magharibi na haina ubavu ata kuonyoosha kidole kutoka kwenye chupa.

Ukiwa unapokea elfu7 kwa siku ni vigumu kujua na kuamini ukweli na uhalisia wa mambo ndivyo mlivyoaminishwa.
 
Hawa Kenge Lissu alishambuliwa na watu ambao hadi leo hawajajulikana,walikaa kimya hawakulaani,watu wamepotea wamekaa kimya,demokrasia imebinywa mtu kajiundia sheria yake ya kila mbunge kufanya siasa katika jimbo lake napo walikaa kimya.

Wameguswa mashoga wameanza kuchachamaa!
 
Nadhani tumenasa kwenye tundu bovu, swala la ushoga ni sababu tu....ila zaidi ni Raisi wetu kukosa lugha ya kidiplomasia kwenye ya kawaida kabisa.
 
Hawa wazungu ukitaka kukosana nao inabidi kwanza uwaguse akina amber rutty eti.
Mbunge kamiminiwa risasi 48 wakakaa kimya,watu wametekwa wakakaa kimya,maiti zimeopolewa ufukweni wakakaa kimya.
Makonda kuwagusa mashoga wanatunyima misaada sawa imekuwa vizuri tumeelewa wako upande gani
Zamani nilikua nasikia ni mchezo wa kiarabu lakini mpk sijasikia taifa lolote la kiarabu likikishikia bango swala hili!
 
Wazungu huwa hawana haraka huwa wanasubiri uingie kwenye 18 zao, suala la Lissu ilikuwa vigumu kwao kuliingilia kwa sababu walikuwa wanasubiri uchunguzi wa polisi.
Asichokijua ni kwamba, wahenga walikua na msomo mmoja uliokua ukisema kamba hukatukia pabovu.
Kamba ya Tanzania imekatikia kwa mashoga.
 
As Tanzanians we know the main issue is EPA EPA EPA EPA .These countries and EU are hiding behind the behinds of LGBTI persons but the main issue is EPA

Sema wewe kama wewe..siye akina Ngosha tunajua ni Jiwe kutaka wengine wasiwe na mawazo mbadala! Ila yeye tuu ndo aabudiwe. Basi.

Kwani hiyo EPA imeanza jana? mbona JK au Mkapa hawakumpigia kelele?

Tatizo la spinning ya watu wa CCM haijaenda shule......mnadhani kila mtu ana akili ya Lusinde type!
 
Sema wewe kama wewe..siye akina Ngosha tunajua ni Jiwe kutaka wengine wasiwe na mawazo mbadala! Ila yeye tuu ndo aabudiwe. Basi.

Kwani hiyo EPA imeanza jana? mbona JK au Mkapa hawakumpigia kelele?
!
Swala sasa hivi wanataka kutushinikiza tusaini EPA awamu zilizopita waliwabembeleza kuwa wasaini EPA wakakataa katakata.Sasa wanaona awamu hii washinikize tusaini. Hayo ya LBGTI wanatumia tu kama kisingizio.Wewe huwazi yaani wakomalie mashoga hawana lingine la muhimu la kukomalia ? Wewe hata kwa ufahamu mdogo huwezi jiongeza kuwa hilo la mashoga wanalitumia kama gia tu?
 
Uzuri tuna jiwe ambalo halitikisiki,hiyo pesa ya msaada wabaki nayo tu.Kwa uwezo wake mungu tutalisonga kama kawa,Tanzania bila misaada ya masharti inawezekana.
 
Hii issue ya ushoga walikosea walipoigeuza kuwa siasa ila hapa Africa wangekuwa seriously wangeikomesha.

Wangetafutwa snipers wazuri na wapelelezi wa kimya kimya ikiishathibitika fulani anavutwa mbavu na wanaume wenzake tu anakula risasi ya kichwa shughuli inaisha,wakiuawa kumi hakuna mwanaume atapita mtaani kidole juu huku macho anayarembua na hivi tunasifika kwa kutokuwa makini kwenye pelelezi zetu basi tutakaa shwari kabisa hapa.
Umeongea kama akili yangu mkuu, yani hawa magasho wanajuana ni kama wanakitaasisi chao (gasho wa Dar lazima amjue Gasho maarufu wa Dodoma) hii ninauhakika.

Sasa ukianza kutembeza bullet kimya kimya lazima wahamaki.. kama sio kuacha basi wataishi kwa kujihami kiasi kwamba hii kitu haitaspread kwenye community.

Mkuu mimi ni mafia sana linapokuja swala la mashoga, ikitokea mwanangu akawa hivyo mi ntaikuta hesabu yangu mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom