pata the best software kwa ajili ya ku design mfumo au model ya nyumba au jengo lolote kwa kutumia 3D effects and other cool graphic and visual effects.Software hii inaweza kutumika na architects pamoja na wajenzi pia kwa anaeitaka ani pm au apige. 0718164448
msaada jamani natafuta mahali pa kumpeleka mdogo wangu kujifunza mchezo wa basketball. kwa anaejua sehemu ambayo ina mwalimu kabisa anijulishe. tafadhali
Guys nauza mid tablet yenye ram 256mb,2gb space, camera, wifi network capabilitie na gps but haingizi line ya simu bei yake ni laki moja tu kwa anayeitaka ani pm
Guyz nauza tablet aina ya mid android tablet inch 7 ina kamera,wifi<wireless internet > ,gps, 3g,browser , camcoder, antivirus,notepad , gallery na vinginevyo price yake ni laki na nusu<150,000> tu but but bei inapungua tablet hii ni used ....the main aim ya kuiuza ni ku-make enough money...
Guyz ninasimu aina ya nokia 2700 classic tatizo ni kwamba cicuit yake ni mbovu fundi simu mmoja wa posta ndo kantell hivyyo anataka buku 30 kwa kazi hiyo sa natafuta *mtaalam mwingine ambaye anaweza ku-fix tatizo hili at a cheaper price kama yupo tafadhali anitaarifu i need help its my only phone
natafuta mtu ambaye anauzoefu wa kununua vitu ebay....coz nahitaji aninunulie some things kama ypo anitaarifu basi ataninunulia hiyo product the ntamrudishia fedha zake alizotumia kuninunulia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.