natafuta mtu ambaye anauzoefu wa kununua vitu ebay....coz nahitaji aninunulie some things kama ypo anitaarifu basi ataninunulia hiyo product the ntamrudishia fedha zake alizotumia kuninunulia
tuma link ya item yako, kama kipo USA delivery after two weeks, the rest of the world may delay. Payment Mode COD,but if the value is too high, you have to pay the half of total value this service is available only for Dar Es Salaam region,and if you are in other regions of Tanzania,yet let me know before. @ Austin
yap man mi mwenyewe nafuatilia vitu kwenye site kama amazon ,ebay na everbuying kwasabab nilikuwa nataka kufanya shipping ya vitu so kama unajua kuhusu masuala haya naomba unishtue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.