Ingia katika website ya opera na nenda sehemu ya mobile chagua aina ya simu yako na isave kwa cmputer hilo file. Then tumia desktop manager kuinstall hiyo soft ya opera kwa simu yako. Hapo utaweza surf kawaida tu. Na pia kuna third part applications kama whatsapp hazihitaj data plan kurun.
Kwa kifupi BB sio simu nzuri, architecture yao imepitwa na wakati, usipokuwa na data plan kuna vitu vingi vinaacha kufanya kazi BBM etc, browser mpaka uset service book, yaani :frusty:
Ni bora ununue simu ya Android au iPhone ambayo uko huru kufanya utakalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.