Wakuu kuna kitu kimoja nimekiona kwa wafanyabiashara wengi wa Tanzania ambacho naona kama kinaendelea na kuzoeleka kwa wafanyabiashara wengi sina uhakika kama wako sahihi lakini kwa mtazamo wangu naona hawako sahihi.
Kuna wakati nilienda duka fulani kununua vitu ambavyo nauhakika ningemwingizia...
Wapinzani kumbukeni sasa hivi utawala umebadilika utawala wa sasa hivi ni utawala makini na unaochapa kazi.Mimi nawaelezeni ukweli kama hamtakua makini katika style zenu za upinzani mtajikuta mnapoteza viti vyote hii ni hatari sana kama hamtachange stategy.
Mfano mdogo ni suala la wizi...
Wakuu hebu nipeni ushauri wa biashara nimepata hizo pesa hapo juu millioni 80 lakini kila nikichekecha biashara ya kufanya ilipe nakua sioni sasa nimeiona niweke hapa ili nipate mawazo nijue pa kuanzia.Mimi naishi mkoa wa Dar-es-salaam
Niko hapa NBC corporate kudeposit fedha kuna foleni kubwa na kuna caunter zaidi ya 7 lakini teller ni mmoja tu,tumejaribu kuulizia tatizo ni nini wanasema wengine wanaumwa,huu ni uzembe wa hali ya juu tumepanga foleni hapa zaidi ya masaa mawili kwa mtindo huu sisi watz tutabaki kuwa masikini wa...
Licha ya mkwala mkubwa uliopigwa na serikali ya Tanzania kwa Malawi bado ndege zao zinaendelea na utafiti kama kawaida ndani ya eneo la ziwa.Wananchi kuzunguka ziwa wameanza kuingiwa hofu kuwa vita inaweza kutokea wakati wowote kuanzia sasa.
Source.Wapo Redio
Kuna mtoto amejitokeza mbezi mwisho ya kimara taahira mwenye umri takribani miaka 16 anaitwa Elizabeth,huyu mtoto ni hatari sana,kitu anachofanya akiona mtu anapita hasa mwanamke anamwomba hela akikataa anamghata na kumtoa damu au anamparua kwa kucha,kwa kweli huyu mtoto sasa hivi amekua hatari...
Wakuu mie kama mzalendo wa Tanzania ningependa kutoa ushauri kwa hivi vyama viwili kama ifuatavyo.
Kama tulivyoona uchaguzi uliopit Igunga gharama kubwa sana ilitumika kwa vyama vyote kurusha mahelikpta,kuwahonga wapiga kura na wazee wa kampain kupata ma allowance kibao fedha nyingi...
Wakuu ile issue ya mabillioni ya JK aliowakopesha watazania iliishia wapi?waliokopa wamesharudisha au ilikua kama bonus?kuna mwana JF yeyote aliyefanikiwa kuipata au ilikuwa ni politics?
Waliomuibia Dk Chami waendeleza ubabe
Saturday, 15 October 2011 07:56
Daniel Mjema, Moshi
KUNDI la wahalifu linalodaiwa kuvunja nyumba ya Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Cyrill Chami na kuiba vitu mbalimbali usiku wa kuamkia juzi, limetishia kuendeleza uhalifu katika familia ya...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WANA JF
Wana JF wataalamu wa biashara na wale walioshawahi kuifanya biashara ya mashine ya kusaga naomba mnijuze inalipa?au itakua ni kupaka hewa rangi? Na mashine ya kusaga na kukoboa zinapatikana wapi na bei yake ni shilingi ngapi? Na umeme wake ni wa phase...
Jamani nimesoma gazeti la Nipashe Jumapili, linasema kuna kontena 5 zenye uzito wa tani 25 kila moja,habari hizo zinasema samaki hao wametokea mji wa Fukushima ambao mji huo maji yake ndiyo yameathirika na mionzi baada ya vinu kulipuka.
Samaki hao walikataliwa Japan baada ya serikali ya Japan...
Hawa jamaa wa TANESCO hata hawawezi kutumia akili kidogo,nimeshangaa leo umeme umewashwa kuanzia saa 7 usiku mpaka asubuhi kwenye makazi yetu,sasa mimi kinachonikera mchana kutwa mnazima umeme halafu mnarudisha usiku kuanzia saa 7 mpaka asubuhi wakati watu wamelala sasa inamaaana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.