Licha ya mkwala mkubwa uliopigwa na serikali ya Tanzania kwa Malawi bado ndege zao zinaendelea na utafiti kama kawaida ndani ya eneo la ziwa.Wananchi kuzunguka ziwa wameanza kuingiwa hofu kuwa vita inaweza kutokea wakati wowote kuanzia sasa.
Source.Wapo Redio
Source.Wapo Redio