Ushauri kwa CCM na CHADEMA

ureni

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
1,262
526
Wakuu mie kama mzalendo wa Tanzania ningependa kutoa ushauri kwa hivi vyama viwili kama ifuatavyo.

Kama tulivyoona uchaguzi uliopit Igunga gharama kubwa sana ilitumika kwa vyama vyote kurusha mahelikpta,kuwahonga wapiga kura na wazee wa kampain kupata ma allowance kibao fedha nyingi zilitumika jumla ikiwa zaidi ya billion 4 kwa vyama vyote.

Sasa mie ushauri wangu najua ARUMERU mchezo utakua ni huohuo na gharama zinaweza kuwewepo hata zaidi ya hizo,kwa nini hivi vyama viwili vifanye makubaliano wampitishe mgombea mmoja akawakilishe bungeni na hizo fedha watakozosave around 4 billion zitumike kujenga mazahanati,barabara,mashule na kuwalipa walimu katika hiyo ARUMERU badala ya kuanza kuonyeshana umwamba wa nani zaidi wakati wananchi wanakufa na matatizo mbalimbali.
 
That is unconstitutional, un procedural and un democratic. We need free and fair elections there.
 
That is unconstitutional, un procedural and un democratic. We need free and fair elections there.

Nyie ndio walewale mnaosubiria kanuni bungeni ifanye kazi wakati wagonjwa wanakufa muhimbili?

Mnajifanya mnajua democrasia sana wakati fedha kibao watu wanazifuja kwenye chaguzi wakati wananchi wanakosa mahitaji muhimu.
 
Mimi vile vile nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, sasa kuna maana gani kuwa na mfumo wa vyama vingi? Bila shaka wewe utakuwa mfuasi wa cuf kwa hiyo unaombea hata chama fulani kisishiriki na hapa umechemka ndugu
 
naona 2015 utasema hivyohivyo kuwa chadema na ccm wakubaliane wamteue mtu 1 awe rais bila uchaguzi ili kupunguza gharama........kitu hicho hakiwezekani kiongozi lazima achaguliwe na watu
 
Wakuu mie kama mzalendo wa Tanzania ningependa kutoa ushauri kwa hivi vyama viwili kama ifuatavyo.

Kama tulivyoona uchaguzi uliopit Igunga gharama kubwa sana ilitumika kwa vyama vyote kurusha mahelikpta,kuwahonga wapiga kura na wazee wa kampain kupata ma allowance kibao fedha nyingi zilitumika jumla ikiwa zaidi ya billion 4 kwa vyama vyote.

Sasa mie ushauri wangu najua ARUMERU mchezo utakua ni huohuo na gharama zinaweza kuwewepo hata zaidi ya hizo,kwa nini hivi vyama viwili vifanye makubaliano wampitishe mgombea mmoja akawakilishe bungeni na hizo fedha watakozosave around 4 billion zitumike kujenga mazahanati,barabara,mashule na kuwalipa walimu katika hiyo ARUMERU badala ya kuanza kuonyeshana umwamba wa nani zaidi wakati wananchi wanakufa na matatizo mbalimbali.

Thead nyingine bana! Kichefu chefu tuuuupu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom