Nimeona bora tujuzane kuhusu hili maana nimepokea taarifa kuwa kuna baadhai ya barabara hazipitiki baada ya mvua ya leo huku Dari Salama. Ni vema tukapeana taarifa zaidi. So far nimeelezwa kuwa njia ya chini Mbezi Beach haipitiki baada ya kile kidaraja kinachojengwa kujaa maji pale baada ya...
A man was rushed to a hospital after a snake bit his penis while he was relieving himself in a toilet, according to hospital officials in Israel.The man, 35, of northern Israel was bitten on Friday after the snake suddenly appeared from inside the toilet.
The man suffered minor injuries from...
Msanii wa Kizazi Kipya hapa nchini ,maarufu kama Bongo Flavour, Bi Rehema Chalamila anaejulikana zaidi kama Ray C, jana mchana amefika Ikulu ya Dar-Es-Salaam kumshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa msaada mkubwa wa matibabu yake ambayo yanafanyika jijini Dar-Es-Salaam chini ya uangalizi...
NCHI yetu inaingia kwenye mchakato wa kuandika Katiba mpya. Tayari Bunge limepitisha muswada wa kuanzisha mchakato huo. Moja ya mambo yanayoyumbisha nchi ni suala la Muungano usioeleweka. Je, Katiba mpya itaweza kutatua kero hizo? Na ni zipi kero hizo?
Kama Wahenga walivyosema kwamba, "Kwa...
Phil Collins - Easy Lover - YouTube
Easy lover
She'll get a hold on you believe it
Like no other
Before you know it you'll be on your knees
She's an easy lover
She'll take your heart but you won't feel it
She's like no other
And I'm just trying to make you see
She's the kind of girl you dream...
Elton John Nikita - YouTube
Hey Nikita is it cold
In your little corner of the world
You could roll around the globe
And never find a warmer soul to know
Oh I saw you by the wall
Ten of your tin soldiers in a row
With eyes that looked like ice on fire
The human heart a captive in the snow...
http://www.youtube.com/watch?v=DJAg35WOKVg&feature=related
Have I told you lately that I love you?
Have I told you there's no one else above you?
Fill my heart with gladness, take away all my sadness,
Ease my troubles, that's what you do.
For the morning sun in all it's glory,
Meets the...
Nadhani hili ni tatizo kubwa kwa Watanzania.
Nipo napitia applications za kazi nakutana na changamoto nyingi. Iliyoniacha hoi ni hii ya jamaa kausema moja ya kazi zake ni kuwa signatory wa cheki. Lakini kwa ujumla uandaaji wa CV sio mzuri kabisa. Nini kifanyike?
Kwa nini unakimbilia siasa?
Nimesoma profile yako na kukuta wewe u mtaalamu wa mambo ya sukari.........kwa nini unaikimbia hii fani yako? Suala la sukari linaumiza vichwa vya watanzania na serikali pia. Tafadhali rejea shambani tulime miwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.