Wana great thinkers Kuna mishe ya karanga ndani ya mikoa ya Kanda ya ziwa
TABORA SHINYANGA
Kuna aina tatu za karanga
RED ndogo ndogo rd
RED kubwa kubwa (TIRA) RD
NYEUPE (WHITE) wt
Utofauti wa bei upo katika mchanganuo ufuatao
rd ndo karanga zenye hadhi na bei nzuri ila na zenyewe zinapanda na...
Naombeni mtu wa kunipa details nikihitaji kuwa mtengenezaji wa mafuta na sabuni za kuogea na formula zake
Naomba kama kuna chuo wanatoa course kama hizi aniambie nikasome
Here comes,
Waungwana kuna hili swala la kufanya biashara iende smoothie,, kuna rafki yangu kanishauri swala la kwenda kwa baadhi ya mashekhe ili tukapatiwe dawa kwa ajili ya biashara iende vema.
Sikufanikiwa kukubali ila yeye alienda na akaanza biashara yenyewe ikaenda vizuri miezi miwili...
Naelewa hii mada imeongelewa sana ila naomba nije kwa namna nyingine
Najua naeza nikawa naandika kitu ambacho labda kishapitwa na muda kutokana na serikali yenyewe pamoja na watu wake kuliweka cold,,
Xenophobia ilitokea south africa wasanii reacted
George floyd wakatoa hadi nyimbo i...
Nina biashara ya kuridhisha kidogo ya karanga hapa Kahama ila tatizo zimeshuka bei sana kisa warwanda ambao ndio wateja wetu wakubwa wamerudi makwao!!
Naomba mnijulishe sehemu ulipo karanga kilo bei gani? Ukianzia TIRA RED NA WHITE KWA BEI ZA JUMLA LAKINI KWA MASOKO YA NDANI
ASANTENI
Habari wana JF,
Mimi shida yangu moja, nina msichana wangu, kila nikishiliki nae tendo ile mwishoni kumekaribia anazimia kabisa nikimuacha baada ya muda kidogo hivi anazinduka, nikimuuliza kama anajisikia vipi sijui ananidanganya, sababu ananiambia anajisikia poa na wala hakuzimia.
Mimi...
Jaman wadau wenye vivid details about masturbation na effects zake plz cz kuna mtu hapa kaniulza nimempa majibu but dogo anakaza fuvu hataree hb wana bios madoctor mnipe hata link ili iwasaidie na wengne humuhumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.