Ukimuuliza mwanamke yeyote ni aina gani ya mwanaume anayemhitaji, unaweza kukutana na majibu kama vile, mpole, mcheshi, mwenye uwezo wa kunihudumia na anayenipenda kama ninavyompenda mimi. Wakati haya yote yanaweza kuwa sahihi isipokuwa kigezo cha mwisho hapo juu, namna ambavyo wanaume...
Wanajamvi, kama kuna mtu mwenye kufaham juu ya chuo hiki tafadhali nahtaji msaada,
Nipo Dar sasa ila
Nimechaguliwa hapo.
Kwenye web sikipati,simfaham yeyote alichaguliwa hapo na sina hata info yoyote from the college.
Msaada tafadhali...
Mawacliano yangu ni 0744186882
Wakuu nko na rafika yangu amefanya application NACTE jumamosi. Yani sasa hvi amenipigia simu kanambia kua alijaza CERTIFICATES badala ya DIPLOMA na deadline ya kuapply ni leo usiku... Tusaidiane mawazo ya haraka wakuu tumsaidie.., inakuaje hapo!?
Wanajanmvi nina Div 3.13 ya form 6 with DDE. Ninapata mtafaruku hapa, wanaposema kwa MD cut-off-points zinatakiwa 5, hapa ina maana wanahesabu masomo mangapi?? Ni mawili au matatu yote ya combination?
Jamani, tusaidiane hapa tafadhali wanandugu. Mimi ninaapply diploma NACTE, nina shida na kozi za afya za KCMUco ila hiki chuo sikioni kwenye list. Tatizo liko wapi? Nafanyaje kukipata kwenye orodha ili niombe? [emoji120]
Wanajamvi,
Mimi nmehitimu form six mwaka huu na matokeo yangu ni division 3.13 ya DDE.
Sawa nina D mbili ila ndoto yangu ni kuwa daktari na kwa alama hizo siwezi kusoma degree ya udaktari! Nimeapply TCU kozi za afya ya wanyama japo sikuwa na ndoto hiyo na uhakika wa kuchaguliwa ni mdogo...
Wakuu mimi nmehitimu cha sita kwa mchepuo wa PCB na kupata :
Physics E
Chemistry D
Biology D
G/S S
BAM E.
Nina ndoto ya kusoma course za afya hasa udaktari. Naomba ushauri juu ya vyuo ama course ya kusoma chuo kikuu..!!
Wakuu. Hivi punde nimepata habari kua matokeo ya kidato cha sita 2016 yatatangazwa kesho ijumaa, tarehe 08/07/2016. Kwa mujibu wa waziri wa elimu Pro. Joyce Ndalichako, wanafunzi waliosoma masomo ya sanaa waongoza kwa kufaulu....!! Wanafunzi waliofanya mtihani huo wanatakiwa kuwa na subira tu.
Nmekua nkifanya masturbation tangu 2012. Sasa hivi umme wangu umekua dhaifu sana siwezi hata kupiga mchezo wa dakika 5.. Nahitaji msaada wakuu.. kuna dawa gani naweza tumia??
Wadau... Mimi nimehitimi kidato cha sita mwaka huu ila mchepuo wa PCB. Ila napata mkanganyiko nichague faculty gani zenye kulipa vizuri baadae. Nisaidieni jamani,
Naifaham MD tu... hzo nyingine hata szijui.. Pia nisaidieni wadau.. hivi nanaweza kuapply BVM?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.