Dedline ni kesho saa sita usikuWakuu nko na rafika yangu amefanya application NACTE jumamosi. Yani sasa hvi amenipigia simu kanambia kua alijaza CERTIFICATES badala ya DIPLOMA na deadline ya kuapply ni leo usiku... Tusaidiane mawazo ya haraka wakuu tumsaidie.., inakuaje hapo!?
mkuu tym bdo ipo mpka kesho anaweza kubadili hta leo au asubuh so mbya....Wakuu nko na rafika yangu amefanya application NACTE jumamosi. Yani sasa hvi amenipigia simu kanambia kua alijaza CERTIFICATES badala ya DIPLOMA na deadline ya kuapply ni leo usiku... Tusaidiane mawazo ya haraka wakuu tumsaidie.., inakuaje hapo!?
Ahsante mkuuMkuu Ukiambiwa Mwisho Tarehe Tano Maana Yake Ni Siku Ya Ijumaa Tarehe 5 saa 23:59:59:9
Siku Ijumaa
Tarehe 5
Saa 23
Dakika 59
Sekunde 59
Nukta 9
Kwahiyo Na Abadilishe Machaguo tu Hata Kesho Asubuhi Anaweza Fanya Kwa Utulivu bila ya Papara.
Some people are not serious on their futureWakuu nko na rafika yangu amefanya application NACTE jumamosi. Yani sasa hvi amenipigia simu kanambia kua alijaza CERTIFICATES badala ya DIPLOMA na deadline ya kuapply ni leo usiku... Tusaidiane mawazo ya haraka wakuu tumsaidie.., inakuaje hapo!?