hivi vijamaa havina uelewa wa mambo yanayoendelea hapa tanzania na afrika, alafu vinadhani vinaweza kuelewa yanayoendelea Ulaya na Geopolitics za dunia.......
acha utoto,
umeomba kujua ikiwa katiba ya ukraine inatambua hilo la wao kujiunga nato, nimekupa!
so far inaonekana uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo,
yule generali aliyeondolewa alisema waziwazi vita imefikia kwenye stalemate (ikiwa na maana haiwezekani kubadili matokeo yaliyokwisha tokea),..... zele na washauru wake wakamwondoa!
hata hizo silaha wanazoletewa hazitaleta mabadiliko makubwa, NATO watajaribu kuua wanajeshi wengi wa urusi, na...
awamu ya kutakatisha pesa hii.....
Amaan wamekarabati kwa bil 30,
mkapa kwa bil 30,
leo uhuru bil 20
huyu mama hata haoni aibu.....kwel bora unyimwe vyote sio akili
pro US hii habari imewaumiza sana mioyo!
hio nchi haina demokrasia, uhuru wa habari wala free speach kama wanavyotuaminisha!
ni nchi kama zilivyo nchi zingine,
kuna mwingine alisema almost wote waliotawala US wana uhusiano wa damu na ufalme wa UK.......
(anyway, US, Canada, Australia, New Z, Israel, ni nchi zinazokaliwa kimabavu na walowezi wa kingereza mpaka leo........).......
nafikiri zimetawaliwa na UK, pia bado zipo chini ya Mfalme wa UK....
i.e mfalme wa UK ndiye head of state,..... (sina uhakika kama bado ni amiri jeshi mkuu)
muungano wao ni kama wetu,
PM Rush Sunak ni wa UK yote,
hapo hapo NI, Scotland na Wales wana viongozi wao wanaodili na masuala yao ya ndani (kama ilivyo Zanzibar),
England yeye hana watawala wake, yani viongozi wa England ndio hao hao wa UK.....kama ilivyo tanganyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.