Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

Hongera mtoa mada
Kwanini Nyerere hakuchukua huu muundo wa Muungano akatengeneza muundo ambao mpaka Leo hutuulewi

Raisi wa Jamhuri ya Muungano
Waziri mkuu wa serikali ya Tanganyika
Waziri mkuu serikali ya Zanzibar

Na hata wengine wakitaka
Waziri mkuu wa Burundi
Rwanda nk
 
Kwa nini bendera za baadhi ya mataifa kama Australia, New Zealand, Hawaii zina bendera ya UK?


images (1).png



Hawaii
_88930052_thinkstockphotos-510410604.jpg
 
Hongera mtoa mada
Kwanini Nyerere hakuchukua huu muundo wa Muungano akatengeneza muundo ambao mpaka Leo hutuulewi

Raisi wa Jamhuri ya Muungano
Waziri mkuu wa serikali ya Tanganyika
Waziri mkuu serikali ya Zanzibar

Na hata wengine wakitaka
Waziri mkuu wa Burundi
Rwanda nk
muungano wao ni kama wetu,

PM Rush Sunak ni wa UK yote,

hapo hapo NI, Scotland na Wales wana viongozi wao wanaodili na masuala yao ya ndani (kama ilivyo Zanzibar),

England yeye hana watawala wake, yani viongozi wa England ndio hao hao wa UK.....kama ilivyo tanganyika
 
Wengi huwa wanapata shida kujua utofauti wa haya maneno hususan pale unaponunua bidhaa na kukuta nyingine imeandikwa 'Made in UK, nyingine 'Made in England' nyingine 'Made in Great Britain'.

Sasa utofauti wake ni huu hapa, ungana nami Didas Tumaini nikujuze.

✅ England
England au kwa kiswahili Uingereza ni nchi kama ilivyo Tanzania. Na makao yake makuu ni London kama ilivyo Dodoma kwa Tanzania. Raia wa hii nchi tunawaita English (mwingereza)

✅Great Britain
Great Britain ni muungano wa nchi 3, ambazo kwa pamoja makao yake makuu ni London. Nchi hizo ni

• England (kwa Wayne Rooney)
• Scotland (Kwa mctominay)
• Wales (Kwa Rayn Giggs)

Raia wa Scotland tunamwita Scottish na Wales ni Welsh.

✅ United Kingdom
Ni muungano wa Great Britain pamoja na Ireland ya kaskazini ( Northern Ireland), kwa maana hiyo United Kingdom (UK) ni muungano wa nchi nne. Nchi hizo ni

• England
• Scotland
• Wales
• Northern Ireland (kwa Jonny Evans na George Best)

Makao makuu ya UK ni London. Wakati mwingine United Kingdom inaweza kuitwa 'United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland'. Raia kutoka Ireland wanaitwa Irish.

🔑Kumbuka; UK na Great Britain ni miunganiko ya nchi, na kila nchi hapo ina mji wake mkuu. Kama ifuatavyo:

• Scotland ni Edinburgh.
• Wales ni Cardiff.
• Northern Ireland ni Belfast.
• England ni London.

📝Nimeeleweka Vijana wangu?

Didas Tumaini
Nimecheka sana wakati unafahamisha kwa kuwataja kina Roney.., lakini nina swali mkuu mfalme wa Uengereza/London anahudumu kwa nchi ngapi katika hizo za muungano ulizozitaja
 
Kwanini huwa wamedumisha pumba za ufalme kwenye dunia ya leo, kwamba ufalme hachaguliwi ila unapokezwa kupitia urithi.
 
Safi sana . Na kwa kuongeza ni kwamba zaidi ya asilimia 60 ya marais wote waliotawala marekani wana asili ya taifa la Wales.
 
Wengi huwa wanapata shida kujua utofauti wa haya maneno hususan pale unaponunua bidhaa na kukuta nyingine imeandikwa 'Made in UK, nyingine 'Made in England' nyingine 'Made in Great Britain'.

Sasa utofauti wake ni huu hapa, ungana nami Didas Tumaini nikujuze.

England
England au kwa kiswahili Uingereza ni nchi kama ilivyo Tanzania. Na makao yake makuu ni London kama ilivyo Dodoma kwa Tanzania. Raia wa hii nchi tunawaita English (mwingereza)

Great Britain
Great Britain ni muungano wa nchi 3, ambazo kwa pamoja makao yake makuu ni London. Nchi hizo ni

• England (kwa Wayne Rooney)
• Scotland (Kwa mctominay)
• Wales (Kwa Rayn Giggs)

Raia wa Scotland tunamwita Scottish na Wales ni Welsh.

United Kingdom
Ni muungano wa Great Britain pamoja na Ireland ya kaskazini ( Northern Ireland), kwa maana hiyo United Kingdom (UK) ni muungano wa nchi nne. Nchi hizo ni

• England
• Scotland
• Wales
• Northern Ireland (kwa Jonny Evans na George Best)

Makao makuu ya UK ni London. Wakati mwingine United Kingdom inaweza kuitwa 'United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland'. Raia kutoka Ireland wanaitwa Irish.

Kumbuka; UK na Great Britain ni miunganiko ya nchi, na kila nchi hapo ina mji wake mkuu. Kama ifuatavyo:

• Scotland ni Edinburgh.
• Wales ni Cardiff.
• Northern Ireland ni Belfast.
• England ni London.

Nimeeleweka Vijana wangu?

Didas Tumaini
Somo zuri sana.
 
Back
Top Bottom