PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,273
- 30,462
Mtoa mada hatuna deni na wewe zaidi ya kukupongeza Tu...
muungano wao ni kama wetu,Hongera mtoa mada
Kwanini Nyerere hakuchukua huu muundo wa Muungano akatengeneza muundo ambao mpaka Leo hutuulewi
Raisi wa Jamhuri ya Muungano
Waziri mkuu wa serikali ya Tanganyika
Waziri mkuu serikali ya Zanzibar
Na hata wengine wakitaka
Waziri mkuu wa Burundi
Rwanda nk
nafikiri zimetawaliwa na UK, pia bado zipo chini ya Mfalme wa UK....Kwa nini bendera za baadhi ya mataifa kama Australia, New Zealand, Hawaii zina bendera ya UK?
View attachment 2973180
Hawaii
View attachment 2973181
may be asili za wafalme wao,Kwa nini Nordic countries (Denmark, Norway, Sweden, Finland na Iceland) bendera zao zina mchoro unaofanana?
DENMARK
View attachment 2973184
NORWAY
View attachment 2973185
SWEDEN
View attachment 2973187
FINLAND
View attachment 2973188
ICELAND
View attachment 2973189
Chanzo chake wapi?Huu unyererezetion nao ulitufanya tuonekane mazuzu,,, yani kila kitu ulaya,, wakati mbeya hivo viazi vipo, udongo ulaya(saruji) wakati tanga, Dar, mbeya upo wa kumwaga,,
8 VETOAsante sana kwa ufafanuzi mzuri na rahisi.
Pia naomba ufafanuzi wa
1. Schengen
2. Benelux
3. USSR
4. RUSSIA
5. EU
6. NATO
7. WARSAW PACT
Nimecheka sana wakati unafahamisha kwa kuwataja kina Roney.., lakini nina swali mkuu mfalme wa Uengereza/London anahudumu kwa nchi ngapi katika hizo za muungano ulizozitajaWengi huwa wanapata shida kujua utofauti wa haya maneno hususan pale unaponunua bidhaa na kukuta nyingine imeandikwa 'Made in UK, nyingine 'Made in England' nyingine 'Made in Great Britain'.
Sasa utofauti wake ni huu hapa, ungana nami Didas Tumaini nikujuze.
✅ England
England au kwa kiswahili Uingereza ni nchi kama ilivyo Tanzania. Na makao yake makuu ni London kama ilivyo Dodoma kwa Tanzania. Raia wa hii nchi tunawaita English (mwingereza)
✅Great Britain
Great Britain ni muungano wa nchi 3, ambazo kwa pamoja makao yake makuu ni London. Nchi hizo ni
• England (kwa Wayne Rooney)
• Scotland (Kwa mctominay)
• Wales (Kwa Rayn Giggs)
Raia wa Scotland tunamwita Scottish na Wales ni Welsh.
✅ United Kingdom
Ni muungano wa Great Britain pamoja na Ireland ya kaskazini ( Northern Ireland), kwa maana hiyo United Kingdom (UK) ni muungano wa nchi nne. Nchi hizo ni
• England
• Scotland
• Wales
• Northern Ireland (kwa Jonny Evans na George Best)
Makao makuu ya UK ni London. Wakati mwingine United Kingdom inaweza kuitwa 'United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland'. Raia kutoka Ireland wanaitwa Irish.
🔑Kumbuka; UK na Great Britain ni miunganiko ya nchi, na kila nchi hapo ina mji wake mkuu. Kama ifuatavyo:
• Scotland ni Edinburgh.
• Wales ni Cardiff.
• Northern Ireland ni Belfast.
• England ni London.
📝Nimeeleweka Vijana wangu?
Didas Tumaini
Somo zuri sana.Wengi huwa wanapata shida kujua utofauti wa haya maneno hususan pale unaponunua bidhaa na kukuta nyingine imeandikwa 'Made in UK, nyingine 'Made in England' nyingine 'Made in Great Britain'.
Sasa utofauti wake ni huu hapa, ungana nami Didas Tumaini nikujuze.
England
England au kwa kiswahili Uingereza ni nchi kama ilivyo Tanzania. Na makao yake makuu ni London kama ilivyo Dodoma kwa Tanzania. Raia wa hii nchi tunawaita English (mwingereza)
Great Britain
Great Britain ni muungano wa nchi 3, ambazo kwa pamoja makao yake makuu ni London. Nchi hizo ni
• England (kwa Wayne Rooney)
• Scotland (Kwa mctominay)
• Wales (Kwa Rayn Giggs)
Raia wa Scotland tunamwita Scottish na Wales ni Welsh.
United Kingdom
Ni muungano wa Great Britain pamoja na Ireland ya kaskazini ( Northern Ireland), kwa maana hiyo United Kingdom (UK) ni muungano wa nchi nne. Nchi hizo ni
• England
• Scotland
• Wales
• Northern Ireland (kwa Jonny Evans na George Best)
Makao makuu ya UK ni London. Wakati mwingine United Kingdom inaweza kuitwa 'United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland'. Raia kutoka Ireland wanaitwa Irish.
Kumbuka; UK na Great Britain ni miunganiko ya nchi, na kila nchi hapo ina mji wake mkuu. Kama ifuatavyo:
• Scotland ni Edinburgh.
• Wales ni Cardiff.
• Northern Ireland ni Belfast.
• England ni London.
Nimeeleweka Vijana wangu?
Didas Tumaini
Hahaamay be asili za wafalme wao,
lakini hata west afrika bendera zao zinafanana (kuna nchi kama nne hivi ukanda ule zina bendera zinazokaribiana)