Kumbuka tisa desemba kuna kwata linapigwa paleHuo wa uhuru waufanye maalumu kwa soka, watoe zile running tracks
Kumbuka tisa desemba kuna kwata linapigwa paleHuo wa uhuru waufanye maalumu kwa soka, watoe zile running tracks
Hii nchi inaonyesha Kuna fedha za Bure🥺Zoezi la utiaji saini mkataba wa kukarabati uwanja wa Uhuru uliopo Dar es Salaam baina ya serikali na mkandarasi kutoka China.
Ukarabati huu unatarajiwa kufanyika kwa muda wa miezi 12 na utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 19.7.
Pesa ya serikali ikakarabati uwanja wa CHAMA?Wazipeleke kirumba pale inatosha kabisa kuwa na pitch kali na majukwaa yakafunikwa vizuri tu.