Kinara wa demokrasia na haki za binadamu duniani anatumia nguvu kuzuia maandamano ya amani kupinga mauaji Gaza

Umeandika hivi.

"Serikali hiyohiyo ya Marekani, kwa muda mrefu, imekuwa mfadhili wa maandamano na ghasia kwenye mataifa yanayokwenda kinyume na matakwa yao. Tumeshuhudia yaliyotokea Libya na yanayoendelea Syria."

Unachanganya habari za serikali ya nchi na serikali zingine za chini kama za majimbo na miji.

Ama kwa kutoelewa ugatuzi wa madaraka Marekani, ama kwa makusudi tu kuendeleza propaganda zako.
Mkuu, swala hapa ni haki za waandamanaji kupokwa. Labda utueleze kama katiba ya nchi haizihusu hizo serikali za chini.
 
Mkuu, swala hapa ni haki za waandamanaji kupokwa. Labda utueleze kama katiba ya nchi haizihusu hizo serikali za chini.
Umeielezea Marekani kama ina serikali moja inayo control kila kitu na hiyo serikali inaji contradict.

Wakati hata hiyo katiba ya nchi unayoisema imetoa mamlaka ya kiugatuzi wa madaraka kugawa madaraka mengine kwenye serikali za chini.

Marekani ni nchi inayohitaji nuance kuiongelea, usiiongelee ki mburula mburula tu kama vile ni nchi isiyo na nuance.
 
Hakuna maanadamano yaliyozuiwa Marekani; huo ni upotoshwaji tu. Hakuna maanadamano yaliyozuiwa Marekani na mpaka sasa kuna vyuo vingi wanafunzi wanafanya maandamano na migomo na inedelea tu. Kinachozuiwa ni activitities zote ambazo ama zinahatarisha usalama wa watu wengine au zinaharabu mali za watu wengine. Kwa mfano wanafunzi waliokamatwa Columbia walikuwa wanaharibu mazingira yanayotumiwa na wanafunzi wenye asili ya kiyahudi na vile vile kuhatarisha maisha ya wayahudi (anti-semitism).

Kumbuka kuwa kila raia ana uhuru wa kuandamana na kusema jambo lolote mradi kwa kufanya hivyo haingilii uhuru wa watu wengine. Haya maandamano yangekuwa yamelenga serikali yan Israel tu, kusingekuwa na tatizo, ila kosa lake yamekuwa yanalenga zaidi kuwadhuru raia wenye asili ya israel. Hilo ni kosa la jinai
Antisemitism🤣🤣🤣
 
Sheikh kashiba ubwabwa anatuletea habari za kitoto kwanini wasiandamane rafah au tehran?
 
"US college protests: Hundreds more arrested across US in Gaza campus protests" US college protests: Hundreds more arrested across US in Gaza campus protests

Acha ujuaji,kila chuo kiwe na polisi!?..hao ni polisi wa Jimbo husika,tunajua us inaongozwa kimajimbo na kila Jimbo Lina polisi wao, sheriff nk,wanaweza kwenda Linda vyuoni,lakini haiondoi ukweli kwamba ni polisi wa serikali,tofauti na hapo ni security company
Ni mawazo yako kwa vile huenda hujaishi marekani unadhani polisi ni taasisi ya serikali tu. Nimekuwekea picha zinazoonyesha polisi wa vyuo mbalimbali. Elewa kuwa ili upate kazi ya upolisi Marekani lazima uisomee: Criminal justice na Police acedemy. Ukisha pata vyeti vyako na kuapishwa kuwa afisa wa polisi ndipo unajitafutia kazi mwenyee.

Kumbuka tena kuwa vyuo vingi vya marekani ni vya binafsi; kwa mfano vyuo maarfu kama MIT, Havard, Princenton, Columbia, Yale, Stanford, ni vya binafsi, na kila chuo kina polisi wake. Kwa hiyo huwezi kuelata maandamano yako ya kisiasa na kuharibu mali za chuo kikauacha salama.
1714056593328.png

1714056628695.png
 
Hii ya kwako ni bad hasbara 101. Hakuna myahudi yeyote aliyetishiwa maisha, si NYU, Columbia wala chuo chochote. Miongoni mwa waandamaji wanaotaka ceasefire now, wapo wayahudi wengi tu. Kinachofanyika ni intimadation na kuziba watu midomo.

Huwezi kuilenga serikali ya Israel au kuikosoa bila kuitwa antisemetic. Kuna wayahudi wengi tu ambao wazazi wao na family wengine waliuawa wakati wa holocaust, ambao leo wanapinga mwenendo wa Israel, nao pia wanaitwa antisemites na maisha yao kuvurugwa kabisa. Mfano mzuri ni; Pro. Norman Finkelstein, İlan Pappe, Miko Peled, Dan Levy na wengi wengine.

Nikiomba utoe mfano wa myahudi mmoja tu ambaye maisha yake yametiwa matatani na haya maandamo ya wanafunzi, sidhani kama unaweza kutoa!

Tuache kupindisha maneno, issue ya Israel na Palestina imekuwa kubwa zaidi ya watu wengi wanavyofikiria, kwasasa ni fight dhidi ya ubeberu na ukoloni mambo leo kwa ujumla wake. Ile wamagharobi wanayoita “a rule based order” imekuwa exposed. Hakuna cha demokrasia wala nini, ni uhuni mtupu.
Ndiyo maana unatoa jumuisho kubwa la kwamba maandamano yanazuiwa bila kujua jinsi baadhi ya waandamanaji walivyohatarisha maisha ya wanafunzi wenye asili ya kiyahudi.

Kupinga jinsi serikali ya Netanyahu ilinayoendesha vita kiholela ni jambo moja ambalo ni tofauti kabisa na maandamano yanayolenga wayahudi. Hata huko kwao Israel kuna waisraeli wanampina Netanyahu kwa jinsi alivyeoendesha vita hiyo kihovyo hovyo. Hao uliowataja wanapinga serikali ya Netanyahu, ambayo hata Senator Schummer ambaye yeye mwenyewe ni myahudi alishatamka hadharani kuipinga.

Wanaotiwa nguvuni ni wale wanaolenga na kuhatarisha maisha ya wayahudi; in fact hawatiwi nguvuni, bali wanadhibitiwa wasilte madhara. Kusubiri mpaka myahudi mmoja auwawe ili upate ushahidi siyo management nzuri ya usalama wa raia. Elewa kuwa sasa hivi wanafunzi wengi wa kiyahudi Columbia hawenda madarasani siku hizi ili kulinda usalama wao.

Fuatilia habari kadri zinaveolevolve kuliko kusubiri zile ambazo zimeshakkuwa digested kulingana na unavyotaka mwenyewe
 
Ndiyo maana unatoa jumuisho kubwa la kwamba maandamano yanazuiwa bila kujua jinsi baadhi ya waandamanaji walivyohatarisha maisha ya wanafunzi wenye asili ya kiyahudi.

Kupinga jinsi serikali ya Netanyahu ilinayoendesha vita kiholela ni jambo moja ambalo ni tofauti kabisa na maandamano yanayolenga wayahudi. Hata huko kwao Israel kuna waisraeli wanampina Netanyahu kwa jinsi alivyeoendesha vita hiyo kihovyo hovyo. Hao uliowataja wanapinga serikali ya Netanyahu, ambayo hata Senator Schummer ambaye yeye mwenyewe ni myahudi alishatamka hadharani kuipinga.

Wanaotiwa nguvuni ni wale wanaolenga na kuhatarisha maisha ya wayahudi; in fact hawatiwi nguvuni, bali wanadhibitiwa wasilte madhara. Kusubiri mpaka myahudi mmoja auwawe ili upate ushahidi siyo management nzuri ya usalama wa raia. Elewa kuwa sasa hivi wanafunzi wengi wa kiyahudi Columbia hawenda madarasani siku hizi ili kulinda usalama wao.

Fuatilia habari kadri zinaveolevolve kuliko kusubiri zile ambazo zimeshakkuwa digested kulingana na unavyotaka mwenyewe
Nimesoma comments zako nyingi hapa, zina upotoshaji mkubwa sana, nadhani ni mahaba binafsi au umeamua kama wanavyosema vijana, kujizima data.
Maandamano ya wanafunzi ni dhidi ya serikali ya Israel, dai kubwa pamoja na cease fire ni BDS. Hakuna hata mwanafunzi mmoja anaye protest wayahudi kama binadamu, kuwafanyia fujo au kuhatarisha maiaha yao. Nimeomba uweke ushahidi wa uhatarishaji wanafanyiwa students/faculty au raia wa kawaida wenye asılı ya kiyahudo, hujaweka badala yake umekuja na maneno tupu.
Kiukweli, baadhi ya wayahudi, wanatumia trick kuchokoza watu ili wafanyiwe fujo, lakini wapi.

Usiku wa kuamka leo nilikuwa naangalia The Grayzone ya Max Blumenthal na Aaron Mate (wote wayahudi) walikuwa wana debunk hizi claims zako kwa ushahidi.

Ukweli unabaki, hakuna mwanafunzi au mtu yeyote myahudi ambaye kafanyiwa fujo na wanafunzi wanao andamana vyuoni. Huo ndiyo ukweli.

Kuna wengine wana amini kuwa hii controversy yote ya maandamano, ipo designed ku-distract watu kutoka makuburi ya halaiki yanayofukuliwa Gaza. Ukisoma New York Times leo, WaPo, LA Times etc, habari kubwa ni maandamano, story ya mass graves ni page ya kumi huko tena kwa fine prints.
 
Nimesoma comments zako nyingi hapa, zina upotoshaji mkubwa sana, nadhani ni mahaba binafsi au umeamua kama wanavyosema vijana, kujizima data.
Maandamano ya wanafunzi ni dhidi ya serikali ya Israel, dai kubwa pamoja na cease fire ni BDS. Hakuna hata mwanafunzi mmoja anaye protest wayahudi kama binadamu, kuwafanyia fujo au kuhatarisha maiaha yao. Nimeomba uweke ushahidi wa uhatarishaji wanafanyiwa students/faculty au raia wa kawaida wenye asılı ya kiyahudo, hujaweka badala yake umekuja na maneno tupu.
Kiukweli, baadhi ya wayahudi, wanatumia trick kuchokoza watu ili wafanyiwe fujo, lakini wapi.

Usiku wa kuamka leo nilikuwa naangalia The Grayzone ya Max Blumenthal na Aaron Mate (wote wayahudi) walikuwa wana debunk hizi claims zako kwa ushahidi.

Ukweli unabaki, hakuna mwanafunzi au mtu yeyote myahudi ambaye kafanyiwa fujo na wanafunzi wanao andamana vyuoni. Huo ndiyo ukweli.

Kuna wengine wana amini kuwa hii controversy yote ya maandamano, ipo designed ku-distract watu kutoka makuburi ya halaiki yanayofukuliwa Gaza. Ukisoma New York Times leo, WaPo, LA Times etc, habari kubwa ni maandamano, story ya mass graves ni page ya kumi huko tena kwa fine prints.
Kupinga serikali ya israee ni kitu kimoja, ila kuextend hiyo kwa waisrael wote ni kitu tofauti, na vile vile kutumia mwanya huo kufanya uharibifu wa mali zisizohusika na mgogoro ni tofauti kabisa. Kuna viongozi wengi ndani ya serikali ya Marekani ambao pia wanaipinga serikali ya israeli; nimetoa mfano Senator Schumer, lakini vile vile Biden mwenyewe anpingana kabisa na jinsi netanyahu alivyoendesha vita hiyo bila kujali maisha ya raia.

Kama wanafunzi wanataka kuandamana dhidi ya serikali ya israle basi wende kwenye embassy ya Israel au umoja wa mataifa, au sehemu ya public siyo kufanya hivyo kwenye private premises za chuo na mabwenini. Na kama nia ni kuishinikza serikali ya marekani basi wafanye hivyo dhidi ya serikali. kwenye public premises. Wote wanodhibitiwa ni waandamani ndani ya chuo; sasa elewa kuwa chuo ni private enterprise, na ina ha haki ya kulinda usqalama wa mali zake pamoja na wa watu wake.

Maeneo mawili ambayo yanaleta tatizo hapa ni uharibifu wa mali binafsi za chuo na kuhatarisha maisha ya wanafunzi wenye asili ya israel.

Irony ni kuwa wakati Hamas walipovamia, kuteka na kuua raia wa isralei wasiokuwa na hatia (wakiwemo watanzania) hakuna aliyepiga kelele; yaani dunia nzima ilikuwa kimya as if hakuna lilolotokea. Ni kweli Netnyahau ambaye ana roho ya kibaguzi sana ametumia mwanya huo vibaya kuvuruga maisha ya wapelistina wa Gaza, lakini ili kuwa fair kwa isarel ni kuwa huwezi kuilaumu israel kwa vita mabyo ilianzishwa na Hamas. Wengi hawataki kuangalia upande huo wa pili wa shilingi, wamekazania kuilaumu Israel tu.
 
Anti-Semitism ina historical roots ya wao kuwa singled out; usalama wao unalindwa. Walichukiwa Ujerumani na kuuwawa sana walipohamishiwa Isarel wakachukiwa zaidi, hivyo jumuia ya kimataifa iliyowahamishia pale isarele inawalinda. Anti-semitism siyo kwa Marekani tu bali ni dunia nzima; ina fact Ujetrumani ina nguvu ambako ndio hat ilikoanzia, wana sheria kali sana ya kulinda usalama wa wayahudi kuliko nchi yoyote duniani.

Hata hivyo hakuna lugha ambayo ni inajulikana kama anti-arabs au anti-africans ila kuna anti-racisim inayolinda bimnadamu wote.
Mfano comment kama hii, sijui hata ulikuwa unafikiria nini? Kwanza unakiri kuwa walihamishiwa Palestine (wewe umesema Israel). Kwahiyo kama walihamishiwa pale, wenyeji walitoa ridhaa?
Pili hujasema baada ya kuhamishiwa hiyo Israel, ilikuwaje mpaka wakaanza kuchukiwa zaidi (kwa mujibu wako), umeiacha inaelea kama vile kuwa chukia ni sports flani hivi.
Tatu ukisema jumuia ya kimataifa una maana nchi za magharibi au hata na Tanzania nayo imo?
Mwisho unajua kuwa Ujerumani nayo imetingishwa kwa pilato pale ICJ kwa kuwa complicity to the genocide inayoendelea? Yaani makosa ya Ujerumani, wanaolipa ni wapalestina. Mnyanyasaji na muuaji mkuu wa wayahudi analipa fadhila kwa wayahudi kwa kuwapa msaada wawafanyie wengine kile ambacho wao waliwafanyia. Hivi unaelewa sijui…!?

Ukiwa na muda, angalia jinsi Yanis Varoufakis, alivyoelezea anachofanya mjerumani. 👇🏿


View: https://m.youtube.com/watch?v=YNGYhMJ00fQ
 
Kupinga serikali ya israee ni kitu kimoja, ila kuextend hiyo kwa waisrael wote ni kitu tofauti, na vile vile kutumia mwanya huo kufanya uharibifu wa mali zisizohusika na mgogoro ni tofauti kabisa. Kuna viongozi wengi ndani ya serikali ya Marekani ambao pia wanaipinga serikali ya israeli; nimetoa mfano Senator Schumer, lakini vile vile Biden mwenyewe anpingana kabisa na jinsi netanyahu alivyoendesha vita hiyo bila kujali maisha ya raia.

Kama wanafunzi wanataka kuandamana dhidi ya serikali ya israle basi wende kwenye embassy ya Israel au umoja wa mataifa, au sehemu ya public siyo kufanya hivyo kwenye private premises za chuo na mabwenini. Na kama nia ni kuishinikza serikali ya marekani basi wafanye hivyo dhidi ya serikali. kwenye public premises. Wote wanodhibitiwa ni waandamani ndani ya chuo; sasa elewa kuwa chuo ni private enterprise, na ina ha haki ya kulinda usqalama wa mali zake pamoja na wa watu wake.

Maeneo mawili ambayo yanaleta tatizo hapa ni uharibifu wa mali binafsi za chuo na kuhatarisha maisha ya wanafunzi wenye asili ya israel.

Irony ni kuwa wakati Hamas walipovamia, kuteka na kuua raia wa isralei wasiokuwa na hatia (wakiwemo watanzania) hakuna aliyepiga kelele; yaani dunia nzima ilikuwa kimya as if hakuna lilolotokea. Ni kweli Netnyahau ambaye ana roho ya kibaguzi sana ametumia mwanya huo vibaya kuvuruga maisha ya wapelistina wa Gaza, lakini ili kuwa fair kwa isarel ni kuwa huwezi kuilaumu israel kwa vita mabyo ilianzishwa na Hamas. Wengi hawataki kuangalia upande huo wa pili wa shilingi, wamekazania kuilaumu Israel tu.
Kiukweli unachosha sana, upo blinded na mahaba. Si Schumer wala Biden wanaopinga serikali ya Israel, ni unafiki mtupu. Angalia press za state department, White House na kadhalika utaona jinsi Marekani ambavyo ipo nyuma ya Israel katika kila hatua. Jana tu au juzi, msaada mkubwa wa fedha umeenda huko Israel, ili wanunue silaha. Ni serikali ya Biden ambayo sasa inasema, Israel watumie model walitotumia Marekani kule Mosul watakapo vamia Rafah. Unajua nini kilifanyika Mosul??

Hiyo ya wanafunzi waende sijui ubalozi wa Israel kuandamana, wadanganye wajinga walizaliwa jana au wasiojua Marekani, hususan activism vyuoni. Toka miaka ya 60 huko, wanafunzi wana andamana vyuon kupinga vita ya Vietnam, apartheid South Africa, BLM support na mengi mengine. Wanafunzi kuandamana vyuoni ni jambo la kawaida, tena lipo encouraged na faculty, kwasababu ni somo la public discourse.

Unafanya makosa mengi sana kwenye arguments zako…..
 
Mfano comment kama hii, sijui hata ulikuwa unafikiria nini? Kwanza unakiri kuwa walihamishiwa Palestine (wewe umesema Israel). Kwahiyo kama walihamishiwa pale, wenyeji walitoa ridhaa?
Pili hujasema baada ya kuhamishiwa hiyo Israel, ilikuwaje mpaka wakaanza kuchukiwa zaidi (kwa mujibu wako), umeiacha inaelea kama vile kuwa chukia ni sports flani hivi.
Tatu ukisema jumuia ya kimataifa una maana nchi za magharibi au hata na Tanzania nayo imo?
Mwisho unajua kuwa Ujerumani nayo imetingishwa kwa pilato pale ICJ kwa kuwa complicity to the genocide inayoendelea? Yaani makosa ya Ujerumani, wanaolipa ni wapalestina. Mnyanyasaji na muuaji mkuu wa wayahudi analipa fadhila kwa wayahudi kwa kuwapa msaada wawafanyie wengine kile ambacho wao waliwafanyia. Hivi unaelewa sijui…!?

Ukiwa na muda, angalia jinsi Yanis Varoufakis, alivyoelezea anachofanya mjerumani. 👇🏿


View: https://m.youtube.com/watch?v=YNGYhMJ00fQ

Naona kama unataka kustremline topic iwe mjadala wa vitu vidogo vidogo sana mpaka hata kuanza kuulezana chanzo cha wayahudi kuchukiwa na iwapo walihamishiwa Israel au Palestine na vitu vidogo vidogo vya namna hivyo. Kuna thread nyingine nzima hapa inayohusu mgogoro baina ya waisrael na wapelistine na tulishaichangia sana itafute. Swala la kwenye thread hii ni je Polisi ya Marekani inazuia maandamano?
 
Kiukweli unachosha sana, upo blinded na mahaba. Si Schumer wala Biden wanaopinga serikali ya Israel, ni unafiki mtupu. Angalia press za state department, White House na kadhalika utaona jinsi Marekani ambavyo ipo nyuma ya Israel katika kila hatua. Jana tu au juzi, msaada mkubwa wa fedha umeenda huko Israel, ili wanunue silaha. Ni serikali ya Biden ambayo sasa inasema, Israel watumie model walitotumia Marekani kule Mosul watakapo vamia Rafah. Unajua nini kilifanyika Mosul??

Hiyo ya wanafunzi waende sijui ubalozi wa Israel kuandamana, wadanganye wajinga walizaliwa jana au wasiojua Marekani, hususan activism vyuoni. Toka miaka ya 60 huko, wanafunzi wana andamana vyuon kupinga vita ya Vietnam, apartheid South Africa, BLM support na mengi mengine. Wanafunzi kuandamana vyuoni ni jambo la kawaida, tena lipo encouraged na faculty, kwasababu ni somo la public discourse.

Unafanya makosa mengi sana kwenye arguments zako…..
Utachoka sana kwa vile hutasikia unachotaka kusikia; suidhani kila mtu hapa ni bendera fuata upepo.
 
Utachoka sana kwa vile hutasikia unachotaka kusikia; suidhani kila mtu hapa ni bendera fuata upepo.
Wewe ndiyo bendera fuata upepo, ni wavivu tu wanaochukua side uliyopo, kwasababu ni rahisi tu. Kwamba matatizo Palestina yameaanza Oct 7th, Israel has the right to defend itself, wanayahudi wananyanyaswa na blah blah nyingine. Hamna context wala nuances. Kwahiyo wewe unaujua ukweli zaidi ya wayahudi wanaopinga uhuni wa Israel?
 
Naona kama unataka kustremline topic iwe mjadala wa vitu vidogo vidogo sana mpaka hata kuanza kuulezana chanzo cha wayahudi kuchukiwa na iwapo walihamishiwa Israel au Palestine na vitu vidogo vidogo vya namna hivyo. Kuna thread nyingine nzima hapa inayohusu mgogoro baina ya waisrael na wapelistine na tulishaichangia sana itafute. Swala la kwenye thread hii ni je Polisi ya Marekani inazuia maandamano?
Eti vitu vidogo dogo, wakati hivyo vitu unavyoita vidogo ndiyo mzizi wa fıtina yote ya haya matatizo.
Issue ni upotoshaji, kama unaona hakuna umuhimu wa kuweka context, ni bora kuacha kwasababu hivyo ndivyo upotoshaji unavyoanza….!! Mfano neno, “wakachukiwa zaidi,” mtu lazima ajiulize kwanini? Wewe kama msemaji wa hilo neno, unawajibu wa kuweka wazi hizo chuki zilitoka wapi?
 
Mumevuka mpaka, mnaanza kusema Marekani ife tena mkiwa humo, mliachiwa mhamie Marekani mkazaliana huko leo mumebweteka na kuvimbiwa....


View: https://www.youtube.com/watch?v=9PXQZUtBafI

Kumetokea wimbi la maandamano kwenye vyuo vikuu nchini Marekani kupinga mauaji ya wapalestina yanayoendelea Gaza.

Serikali inatumia askari polisi kuzuia waandamanaji wanaotumia haki yao ya kikatiba kupinga kinachoendelea Gaza.

Serikali hiyohiyo ya Marekani, kwa muda mrefu, imekuwa mfadhili wa maandamano na ghasia kwenye mataifa yanayokwenda kinyume na matakwa yao. Tumeshuhudia yaliyotokea Libya na yanayoendelea Syria.

Marekani anahimiza haki za raia kuandamana na uhuru wa kujieleza kwa mataifa mengine wakati yeye hawezi kuziheshimu?
Mkuu (MK254) umesema vema kabisa; hii mijitu Haina shukrani. Unawezakuta mtoa Uzi huu ameomba lottery visa aingie US, ikifika huko inavimbiwa na kuanza hata kuchoma bendera. Pili hii mijitu kitabu chao cha shetani ndiyo kinaharibu akili za aliyesoma hadi kule chini kwa asiye soma. Qatar kwa sasa ndiyo mfadhili wa projects zote za muslim brotherhood; turkey anaingia huko kwa Kasi. Wamemtanguliza Hamas kwa sababu Moja ya Agenda yao ni to replace the state of Israel with a Muslim caliphate. Pia wanataka to dominate the west. Wao wanahusisha western countries with christianity. Huko nchi za western Qatar imekuwa ikipenyeza pesa kwenye vyuo vikuu na maprofessors wanatumiwa to brainwash the Gen Z- watoto Hawa wa kizazi hiki. Wamefanikiwa lakini wameyaanzisha mapambano yao ya wazi mapema mno; they are doomed to fail. Kule USA, wamepata matokeo makubwa ktk hivyo vyuo kwa sababu Gen Z wengi walijiingiza kwenye Antifa movement ambayo Wana mrengo wa kikomunisti. Kwa hiyo Muslim brotherhood na Antifa wame team up. Russia & China are happy with what is happening in the west, ila hawajui kuwa they have their own struggle with the Muslims in their territories. Waislam si wanadamu wa kawaida, sooner or later tutaona huo mtifuano wa waislam na Russia/ China. Na hapo ndipo waislam watakumbuka the beauty of western democracy. Huu mwaka tutayaona mengi kwa maana ya vita na hizi vurugu za Hawa waabudu Shetani
 
Back
Top Bottom