Takwimu zilizopo ni hizi za nchi kubwa kubwa. Unaweza kutafuta hata wewe mwenyewe utajionea. Kwa nchi maskini kama zetu kwa kweli sina ila bado ninaamini watoto wako salama zaidi.
Mwaka 1990 mtoto alikuwa anaweza kubakwa Morogoro na watu wa Dar wasijue ila leo hadi Bukoba huko watajua tena...
Haya mambo yalikuwepo sana tu toka zamani sema siku hizi inaonekana kama yamezidi kwa sababu taarifa zinasambaa kwa kasi sana. Kitakwimu watoto wako salama zaidi leo kuliko wakati mwingine wowote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.