Rukwa, Sumbawanga: Kiumbe hai cha ajabu chaonekana

Kiumbe hai cha ajabu chenye umbo kama binadamu kikiwa na miguu mwili na mikono miwili huku kikitembea kama binadamu kimejitokeza ghafla maeneo ya shule ya Msingi Kalalasi Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa Leo tarehe 05.02.2019 majira ya saa 4 asubuhi na kuzua taharuki kwa wanafunzi na walimu shuleni hapo kabla ya wanafunzi kukirushia mawe na kufanikiwa kukiua. Mpaka sasa haijajulikana hicho ni kumbe gani.View attachment 1014334

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona hiyo picha inaonekana kama ni mimba iliyochomolewa? Kisha hicho kiumbe kutupwa mtoni.
Hebu zoom hiyo picha uone huo mwamba kilipo hicho kiumbe, halafu angalia hapo tumboni haioneshi kama kulikuwa na uhai kabla maana utumbo ni kama umekauka.
Mwisho kama kungekuwa na tukio la kutupiwa mawe bila shaka kungekuwa na masalia ya mawe eneo hilo.
So mi naona hizo ulizotupia hapo ni chenga..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari ni za ukweli kabisa,
Amedhibitisha Jamaa mmoja kwa Nina namuifadhi ( nilisoma nae) anafundisha shule ya jirani, kwa maelezo yake hicho kidudu kina urefu unaokaribia futi tatu na unene/upana unaofikia sm. 40 kwa makadirio.
Anasema kiumbehi hicho kilitokea eneo la msitu wa hifadhi ulio karibu na shule tajwa, na baada ya kukiuwa wamekipeleka kituo cha polisi kabla ya kuamua kukizika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeangalia taarifa za habari zote hawajatangaza hii kitu.Ni fake
 
Kiumbe hai cha ajabu chenye umbo kama binadamu kikiwa na miguu mwili na mikono miwili huku kikitembea kama binadamu kimejitokeza ghafla maeneo ya shule ya Msingi Kalalasi Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa Leo tarehe 05.02.2019 majira ya saa 4 asubuhi na kuzua taharuki kwa wanafunzi na walimu shuleni hapo kabla ya wanafunzi kukirushia mawe na kufanikiwa kukiua. Mpaka sasa haijajulikana hicho ni kumbe gani.View attachment 1014334

Sent using Jamii Forums mobile app

Chifu hapa kwa tukio kama hili kulingana na maendeleo ya sayansi na teknolojia ungetupatia ka video kidogo ingekuwa bora zaidi,ili wengine tuweze kuzingatia tukio hili.
 
Hii ni mimba imetolewa.ukiangalia baadhi ya sehem zimeoza.kuna tumbo na mkono wa kushoto.pia ukiangalia na kichwani ni kama pameanza kuaribika pia....Hakuna kitu kama hicho mtoa mada...

Hii chai yako bwana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa hiyo mikoa empty set kabisa..hii ilikuwa tunu ya utafiti na ushahidi kuwa kuna vitunguu swaumu..shit!
Hafu eti twende uchumi wa kati na hizi akili za wasomi wetu. Badala yake tafiti zitaelekezwa kwa hao viumbe waliokiua maana W anaonekana wa ajabu kuliko kiumbe mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom