Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,829
- 3,570
Wewe! Wameshasema jeshi halishindwi!Najaribu kufikiria hapa, je JWTZ kwa ushirikiano na JKT wakishindwa kukamilisha ujenzi huo na Mh. Rais akatembelea mradi huo, je atatoa tamko kama hili?
Je nini itakuwa muitikio wa Jeshi kwa kauli hizo?