Busu na Kumbatio la Mwanaume huyu limenifanya Nichanganyikiwe

Habari za mda huu wana Jf, kuna issue imenikuta inanichaganya akili yangu nami nilishaapa kutokupenda tena lakini naona moyo umebadilisha gear angani. Issue yenyewe iko hivi nimekuwa na urafiki wa kawaida na huyu mwanaume, tumekuwa tuna toka out bila kufanya jambo baya, we just make stories basi.

Basi one day alinitafta tutoke out basi when we met he actually kissed me kwenye paji la uso, then hugged me tightly like three minutes heeh mie lile huggy lake ni kamata liliniingizia energy yake na kumaliza my energy and my minds changed. Tangu anikumbatie na mimi kuhisi kitu kiliingia kutoka kwake nimekuwa namuwaza mda wote hadi usiku wa manane hadi nunu yangu huloa jinsi ninavo muwaza ila yeye yuko busy tu.

Sasa wana JF wenzangu mlishawahi kukutana na situations kama yangu na mlifanya nini kujikwamua na hyo hali maana mie sitaki kupenda tena ila busu la kumbatio la mwanaume limenibadilisha akili yangu.
Toa mbunye hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo nyege tu mama hamna zaidi ya jingine

Nawaambiaga hakuna kutongoza mwanamke anayejua mbolou nikumpa mazingira tu lzm akipereke mwenyewe

Huyu atamtunuku siku yeyote tena bila mashart

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mda huu wana Jf, kuna issue imenikuta inanichaganya akili yangu nami nilishaapa kutokupenda tena lakini naona moyo umebadilisha gear angani. Issue yenyewe iko hivi nimekuwa na urafiki wa kawaida na huyu mwanaume, tumekuwa tuna toka out bila kufanya jambo baya, we just make stories basi.

Basi one day alinitafta tutoke out basi when we met he actually kissed me kwenye paji la uso, then hugged me tightly like three minutes heeh mie lile huggy lake ni kamata liliniingizia energy yake na kumaliza my energy and my minds changed. Tangu anikumbatie na mimi kuhisi kitu kiliingia kutoka kwake nimekuwa namuwaza mda wote hadi usiku wa manane hadi nunu yangu huloa jinsi ninavo muwaza ila yeye yuko busy tu.

Sasa wana JF wenzangu mlishawahi kukutana na situations kama yangu na mlifanya nini kujikwamua na hyo hali maana mie sitaki kupenda tena ila busu la kumbatio la mwanaume limenibadilisha akili yangu.
Ma koku, nikusihitu nduguyangu wa hapa Jf, jitoe akilitu mfungukie kua unamkubali, naye atajiongezatu maana uhusiano ni kukubalianatu, afu sisi wanaume huwa ni kama mkate mbele ya chai....

"Akakeikulu kenshoni, bakakazika nkalola"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonesha hata kyuma yako imemaindi mkuyati wa huyo mshkaji ndo maana inatoa hadi majimaji umuwazapo... So hamna namna we mvulie tu ili Kyuma iridhike pia
 
Nimekumbuka aliyekuwa mpenzi wangu nilipomkumbatia naye alipata hali hiyo baadaye alinieleza tulipendana ila tofauti zetu zilikuwa dini, kwao walikataa aolewe namimi kutokana na imani zetu.

Si wapenzi tena ila hatukuwa na ugomvi na tunawasiliana mpaka sasa..kibaya kwake sijuwi atakuwa anakuchukulia vipi maana kwangu sikuwa nikimpenda mwanzo nilikuja kumpenda kutokana baadaye kutokana na kunijali na kujitoa kwa ajili yangu.

Mpaka leo huwa anatamka kuwa mimi ndiye mwanaume pekee hakupenda hata siku moja nipate tabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana
 
Habari za mda huu wana Jf, kuna issue imenikuta inanichaganya akili yangu nami nilishaapa kutokupenda tena lakini naona moyo umebadilisha gear angani. Issue yenyewe iko hivi nimekuwa na urafiki wa kawaida na huyu mwanaume, tumekuwa tuna toka out bila kufanya jambo baya, we just make stories basi.

Basi one day alinitafta tutoke out basi when we met he actually kissed me kwenye paji la uso, then hugged me tightly like three minutes heeh mie lile huggy lake ni kamata liliniingizia energy yake na kumaliza my energy and my minds changed. Tangu anikumbatie na mimi kuhisi kitu kiliingia kutoka kwake nimekuwa namuwaza mda wote hadi usiku wa manane hadi nunu yangu huloa jinsi ninavo muwaza ila yeye yuko busy tu.

Sasa wana JF wenzangu mlishawahi kukutana na situations kama yangu na mlifanya nini kujikwamua na hyo hali maana mie sitaki kupenda tena ila busu la kumbatio la mwanaume limenibadilisha akili yangu.
Naomba uwe unatuletea yatakayojiri atleast kila week mara moja.
 
hilo fumbato moja limekupagawisha je, fumbato langu na la wengine wanaojua kufumbata utayavumilia na kuendelea kushilia hayo maamuzi yako ya kutokupenda, upendo huja pasipo taarifa na wanaojua kuambukiza upendo tupo tuna- ZOOM na tunawacheki nyie mnaosema hamtakuja kupenda tena, mwanamke ni sawa na mwezi, mwanaume ni sawa na jua, nyinyi wanawake huaksi mwangaza kutoka kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom