huyo mke wa kaka yako ni dobi? we ni mgonjwa wa ukoma?Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo mke wa kaka yako ni dobi? we ni mgonjwa wa ukoma?Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona aiseeAisee
Acha kutuaibisha wanaume tunaojitambua tukaonekana tuna zero IQJamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
mshenzi wewe kaoa kaka yako umeoa weweJamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikupelekea maji bafuni wiki Zote mbili au ulivyofika tu?mkuu mimi mbona adi maji alikuwa ananipelekea bafuni mkuu#ila simwombi anasema mwenyewe ko kama hatak usimlazimishe aiseh#sasa sijui alikuwa anaigiza maana nilikaa week 2 nikasepa
wiki zote mbili mkuu
Hebu leo ukuje kwenye ile outing rafiki.
Haha sikujua kwamba na wewe ulikuwa unaniinjoiHebu leo ukuje kwenye ile outing rafiki.
Sikuenjoy bana. Fanya uje au ghafla Sana?
Hata mimi kwa kweli nahisi hayupo serious maana sio kwa upumbavu huu aloleta hapaNaamini huu ni utani tu.
HaaaJamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app