Kwa nini kama halikuwa goli? Mbona basi akuamulu mpira upigwe kona wakati aliyeutoa nje kwa kichwa ni beki wa Mamelod?
Badala yake akawapa faida mamelod kuanza mpira.
Kuna maswali ya kujiuliza hapa.
Mwazo ndio kama hayo tu, hawabadiriki, hawajifunzi.
Sasa utasikia wanasema Yanga sijui freemason, wanatumia madawa, mara sijui wanaroga na mambo mengine yenye akili za mgando.
Wacha sindano iwaingie kwanza.
Yanga ina viongozi imara wanao kubali kujifunza kila wakati, ndio maana timu imekuwa bora.
Malengo ya Yanga ilikuwa ni kuibua vipaji vipya, hasa kutoka timu ya under 20.
Pia kuwapa wachezaji wa akiba waonyeshe kuwa wanastahili kubaki Yanga.
Basi, hayo indio malengo makuu ya timu ya wananchi kwenye mashindano haya.
Kwani kwenda na wachezaji 8 bila kuwa reserve kuna tofauti gani na kupanga matokeo?
Mechi ilipaswa ihairishwe kuepuka issue kama hizi za kutia doa.ligi nzima.
Lakini na wewe u.etuficha taarifa, Yanga kacheza mechi mbili za kirafiki siku moja asubuhi na jioni.
Asubuhi Yanga kashinda 6.
Jioni suluhu.
Mbona ulalamiki kwani wamewezaje kucheza mechi mbili siku moja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.