This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,911
- 4,993
Tofauti na kauli zinazotolewa baada ya kupokea kichapo cha goli tatu kwa moja kutoka kwa APR ya Rwanda, timu ya Yanga ilienda Zanzibar ikiwa na malengo makubwa.
Kauli zinazotolewa baada ya kichapo ni kauli za kujipoza na aibu ya kufungwa goli 3.
Ikumbukwe baada ya simba kudroo na APR maneno yalikuwa mengi sana kutoka kwa viongozi , wapenzi, mashabiki wa Yanga kwamba Simba ni mbovu kwasabbu imesuluhu na timu yenye mpira mdogo ya APR.
Uungwana ni kukubali kuzidiwa na siyo kuleta visingizio.
Soma alichoandika Priva kwenye mtando wa X. Fuatilia na viongizi na waoenzi wa yanga kabla ya kichapo tangu kombe la mapinduzi lianze.
Kauli zinazotolewa baada ya kichapo ni kauli za kujipoza na aibu ya kufungwa goli 3.
Ikumbukwe baada ya simba kudroo na APR maneno yalikuwa mengi sana kutoka kwa viongozi , wapenzi, mashabiki wa Yanga kwamba Simba ni mbovu kwasabbu imesuluhu na timu yenye mpira mdogo ya APR.
Uungwana ni kukubali kuzidiwa na siyo kuleta visingizio.
Soma alichoandika Priva kwenye mtando wa X. Fuatilia na viongizi na waoenzi wa yanga kabla ya kichapo tangu kombe la mapinduzi lianze.